• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Iringa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahala
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Huduma ya Maji
      • Usimamizi wa Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Huduma za Kisheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Iringa
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Mufindi
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Kilolo
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
  • Halmashauri
    • Iringa MC
    • Mafinga Mji
    • Iringa DC
    • Kilolo DC
    • Mufindi DC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda na Biashara
    • Vivutio vya Kitalii
      • Fahari Yetu
      • CHOGELASAFARICAMP
      • Kitovu cha Utalii Nyanda za Juu Kusini
      • RUAHA HILLTOP
      • Hifadhi ya Taifa Ruaha
      • Udzungwa Mountains National Park
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Habari
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • News Later
    • Matukio

Video

  • RC: SERUKAMBA: MGENI RAMSI WA MAFUNZO YA MUJIBU WA SHERIA KIKOSI CHA JESHI 841 KJ MAFINGA

    September 20th, 2024

    Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mhe. Peter Serukamba Septemba 12,2024 amefunga mafunzo ya Muujibu wa sheria katika kikosi cha Jeshi 841 KJ MafingaKabla ya kufunga Mafunzo hayo Mhe. Serukamba alipokelewa na Mwenyeji wake ambaye ndiye Mkuu wa kikosi Kanali Issa Chalamila na badae akagua gwaride

  • MILLIONI 583 KUJENGA SHULE MPYA YA SEKONDARI KIBENGU-USOKAMI

    September 20th, 2024

    Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mhe. Peter Serukamba Leo Septemba 09,2024 amefanya ziara ya kutembelea na kukagua Miradi katika Halmashauri ya Wilaya ya MufindiAkiwa katika ukaguzi huo  Mhe. Serukamba  kwanza ameishukuru Serikali ya awamu ya sita  inayoingozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutoa fedha nyingi kwaajili ya ukarabati na ujenzi wa shule za msingi na sekondari jambo ambalo linaenda kuondoa adha ya wanafunzi kutembea umbali mrefu kupata elimu.Moja ya mradi aliotembelea ni mradi wa shule Mpya ya Sekondari ya Kibengu ambayo ujenzi wake unagharimu kiasi cha shilingi Millioni 583 ambapo akiwa hapo Mhe. Serukamba ameridhishwa  na mradi huo ulipofikia huku akiagiza kuendelea kuongeza kasi ili majengo ya shule hiyo yaweze kukamilika kwa wakati.Nao baadhi ya Wananchi wametoa shukrani nyingi kwa Serikali kwa kuwajengea shule na kuboresha miundombinu ya shule kwa kusema kuwa miradi hiyo ikamilike kwa wakati ili wanafunzi waondokane na adha ya kutembea umbali mrefu kupata elimuSambamba na hayo Mhe. Serukamba ameipongeza Halmashauri hiyo kwa kuwahi kuanza kutekeleza  ujenzi wa miradi hiyo kwani kwasasa hakutakuwa na changamoto ya kukwama kwa miradi kwa kisingizio cha mvua

  • RC SERUKAMBA AMKABIDHI MWENGE WA UHURU MKUU WA WILAYA YA MUFINDI DKT.LINDA SALEKWA

    June 22nd, 2024
  • ← Prev
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • Next →

Matangazo

  • No records found
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MTIHANI MWEMA KIDATO CHA SITA

    May 04, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WAKAMILISHA ZIARA MKOA WA IRINGA NA KUKABIDHIWA MKOA WA NJOMBE

    May 03, 2025
  • MAKABIDHIANO YA MWENGE WA UHURU KATI YA WILAYA YA IRINGA NA HALMASHAURI YA WILAYA YA KILOLO

    April 29, 2025
  • MAKABIDHIANO YA MWENGE WA UHURU MKOA WA IRINGA

    April 28, 2025
  • Tazama zote

Video

WASHIRIKI 10,000 KUTIKISA MASHINDANO YA UMITASHUMTA NA UMISSETA 2025 MKOANI IRINGA
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

Tovuti Linganifu

Watembeleaji Kidunia

world map hits counter

Jumla ya Watembeleaji

COUNTER-free

Ramani

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2025, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Iringa.