• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Iringa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahala
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Huduma ya Maji
      • Usimamizi wa Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Huduma za Kisheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Iringa
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Mufindi
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Kilolo
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
  • Halmashauri
    • Iringa MC
    • Mafinga Mji
    • Iringa DC
    • Kilolo DC
    • Mufindi DC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda na Biashara
    • Vivutio vya Kitalii
      • Fahari Yetu
      • CHOGELASAFARICAMP
      • Kitovu cha Utalii Nyanda za Juu Kusini
      • RUAHA HILLTOP
      • Hifadhi ya Taifa Ruaha
      • Udzungwa Mountains National Park
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Habari
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • News Later
    • Matukio

WAKUU WA WILAYA WAPYA IRINGA WAAPA KUWATUMIKIA WANANCHI KWA MUUNGOZO WA ILANI YA CCM

Posted on: June 21st, 2021

WAKUU WA WILAYA WAPYA IRINGA WAAPA KUWATUMIKIA WANANCHI KWA MUUNGOZO WA ILANI YA CCM

Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mhe. Queen Sendiga, siku ya leo Juni 21. 2021 amewaapisha wakuu wapya wa Wilaya wawili wa Iringa na Mufindi katika ukumbi wa Mikutano wa Siasa na Kilimo, na Mkuu wa Wilaya ya kilolo yeye ameapa kiapo cha maadili kwa sababu amebadilishiwa kituo cha kazi.

Uwapisho huo umefanyioka mara baada ya uteuzi wa Wakuu wa Wilaya wa nchi nzima uliofanywa na Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu siku ya Jumamosi tarehe 19.06.2021

Majina ya Wakuu wa Wilaya wa Mkoa wa Iringa walioapishwa ni pamoja na Mhe. Mohamed Moyo, (Mkuu wa Wilaya ya Iringa), Mhe. Saady  Mtambule (Mkuu wa wilaya ya Mufindi), na Mhe. Peres Magiri (Mkuu wa Wilaya ya Kilolo)

Aidha mara baada ya kuapishwa kwao, akizungumza mbele ya Wakuu hao wa Wilaya,

 Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mhe. Queen amewataka viongozi hao kwenda kutumika kwa manufaa ya Wananchi kupitia kutatua changamoto zote zinazowakumba pamoja na kusimamia vyema miradi ya maendeleo katika kila maeneo yao ya kazi

“hakikisheni mnatenda haki bila upendeleo wowote, bila kubagua dini wala kabila kwani Tanzania ni ya watu wote na  wote ni sawa, hivyo msitumie madaraka yenu kuwaonea wengine” Mhe. Queen amesema

Mwisho, viongozi hao wameahidi mbele ya Mkuu wa Mkoa kwenda kusimama na kutekeleza majumu yao kama ilani ya Chama cha Mapinduzi inavyowataka kutumika, Alisema Mhe. Saady Mtambule kwa niaba ya wakuu wa Wilaya walioapishwa.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • ‎RC SERUKAMBA AITAKA TRA KUDHIBITI RISITI FEKI, KUHAMASISHA ELIMU YA KODI

    May 19, 2025
  • TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM MKOA WA IRINGA.

    May 18, 2025
  • UKAGUZI WA MIRADI HALMASHAURI YA WILAYA YA MUFINDI

    May 08, 2025
  • RC SERUKAMBA AHIMIZA UWAJIBIKAJI KWA VIONGOZI NA WATUMISHI

    May 07, 2025
  • Tazama zote

Video

RC SERUKAMBA: WANANCHI PAWAGA FANYENI KAZI KWA BIDII.
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Iringa
  • PReM
  • Investment profile
  • Ajira za waalimu
  • Press release

Tovuti Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji Kidunia

world map hits counter

Jumla ya Watembeleaji

COUNTER-free

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 4 Barabara ya Pawaga

    Anuani ya Posta: P.O.Box 858, 51108 Gangilonga, Iringa, Tanzania

    Simu: +255 262 702 715

    Mobile:

    Barua pepe: ras@iringa.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2025, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Iringa.