• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Iringa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahala
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Huduma ya Maji
      • Usimamizi wa Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Huduma za Kisheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Iringa
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Mufindi
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Kilolo
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
  • Halmashauri
    • Iringa MC
    • Mafinga Mji
    • Iringa DC
    • Kilolo DC
    • Mufindi DC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda na Biashara
    • Vivutio vya Kitalii
      • Fahari Yetu
      • CHOGELASAFARICAMP
      • Kitovu cha Utalii Nyanda za Juu Kusini
      • RUAHA HILLTOP
      • Hifadhi ya Taifa Ruaha
      • Udzungwa Mountains National Park
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Habari
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • News Later
    • Matukio

WAKULIMA 1700 KUNUFAIKA NA SKIMU YA MGAMBALENGA

Posted on: June 1st, 2024

Dhamira ya Serikali ya Awamu ya sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ni kuhakikisha Wakulima wa mazao nchini wanazidi kunufaika na harakati za Serikali ya Awamu ya Sita katika kuhakikisha inatatua changamoto na kuwawezesha wakulima hao katika kila hali Katika Mkoa wa Iringa Serikali ya awamu ya sita imeendelea kufanya mambo makubwa katika sekata ya kilimo ambapo katika Halmashauri ya wilaya ya Kilolo wakulima 1700 watanufaika na skimu ya umwagiliaji ya Mgambalenga baada ya kukamilika kwa ujenzi wa skimu hiyo,

 Akitoa historia ya skimu hiyo Diwani wa Kata ya Ruaha mbuyuni Mhe. Rashid Nzelemela amesema skimu hiyo imeanza kujengwa tangu mwaka 2014 ambapo Serikali ilitoa fedha lakini bado hazikutosheleza kukamilisha mradi huo hivyo kupitia tume ya umwagiliaji kwa sasa shilingi Billioni 20 zinatolewa ili kukamilisha mradi huo jambo ambalo litalifungua eneo hilo ambalo ni maarufu kwa ulimaji wa Nyanya na vitunguu Nae Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo Mhe. Anna Msola amesema mradi huo wa Mgambalenga pindi utakapokamilika utakuwa ni mkombozi mkubwa kwa wananchi na utaleta na kukuza uchumi katika halmashauri ya wilaya ya kilolo Kwa upande mwingine Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mhe. Peter Serukamba amepongeza kasi iliyopo lakini pia ameendelea kuomba kwa tume ya umwagiliaji na wizara ya kilimo kuwafikishia kwa haraka hizo fedha ili waweze kuukamilisha mradi huo kwani mradi huo utatokomeza umaskini kwa wakazi hao Skimu hiyo ya umwagiliaji ya Mgambalenga iliyopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo Mkoani Iringa, vijiji vipatavyo vitatu vitanufaika na skimu hiyo ambavyo ni Mtandika, Msosa na Ruaha Mbuyuni.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • ‎RC SERUKAMBA AITAKA TRA KUDHIBITI RISITI FEKI, KUHAMASISHA ELIMU YA KODI

    May 19, 2025
  • TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM MKOA WA IRINGA.

    May 18, 2025
  • UKAGUZI WA MIRADI HALMASHAURI YA WILAYA YA MUFINDI

    May 08, 2025
  • RC SERUKAMBA AHIMIZA UWAJIBIKAJI KWA VIONGOZI NA WATUMISHI

    May 07, 2025
  • Tazama zote

Video

RC SERUKAMBA: WANANCHI PAWAGA FANYENI KAZI KWA BIDII.
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Iringa
  • PReM
  • Investment profile
  • Ajira za waalimu
  • Press release

Tovuti Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji Kidunia

world map hits counter

Jumla ya Watembeleaji

COUNTER-free

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 4 Barabara ya Pawaga

    Anuani ya Posta: P.O.Box 858, 51108 Gangilonga, Iringa, Tanzania

    Simu: +255 262 702 715

    Mobile:

    Barua pepe: ras@iringa.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2025, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Iringa.