• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Iringa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahala
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Huduma ya Maji
      • Usimamizi wa Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Huduma za Kisheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Iringa
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Mufindi
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Kilolo
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
  • Halmashauri
    • Iringa MC
    • Mafinga Mji
    • Iringa DC
    • Kilolo DC
    • Mufindi DC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda na Biashara
    • Vivutio vya Kitalii
      • Fahari Yetu
      • CHOGELASAFARICAMP
      • Kitovu cha Utalii Nyanda za Juu Kusini
      • RUAHA HILLTOP
      • Hifadhi ya Taifa Ruaha
      • Udzungwa Mountains National Park
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Habari
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • News Later
    • Matukio

WAKANDARASI WAZEMBE KUCHUKULIWA HATUA ZA KISHERIA

Posted on: May 22nd, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mhe. Peter Serukamba amemuagiza Mkurugenzi wa Manispaa ya Iringa Ndg. Kastori Msigala kuwafatilia wakandarasi wazembe ambao hawatamaliza miradi kwa wakati na kuwachukulia hatua za kisheria.

Agizo hilo amelitoa Mei 21, 2024, baada ya kutembelea na kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo katika Halmashauri ya Manispaa ya Iringa akiwa amengozana na Katibu Tawala Mkoa, Mkuu wa Wilaya ya Iringa Komredi Kheri James, Mstahiki Meya wa Manispaa ya Iringa Mhe. Ibrahim Ngwada, pamoja na viongozi mbalimbali.

Akiongea na baadhi ya wajumbe wa Kamati za Ujenzi, Wananchi na baadhi ya viongozi wa CCM ngazi ya Kata Mhe, Serukamba amesema anawashukuru kwa kujitokeza katika ziara hiyo, pia kwa ushiriki wa miradi inayotekelezwa na kuwataka wakandarasi pamoja na mafundi waongeze kasi ya ujenzi ili miradi hiyo ikamilike kufikia mwisho wa mwezi Juni 2024.

"Nawapongeza sana kujitokeza kwa wingi, pia nawapongeza kwa ushiriki wa ujenzi wa miradi hii, Mhe Rais Ana nia njema na anawapenda ndiyo maana anawaletea fedha za ujenzi wa miradi hii, mimi kazi yangu ni moja tu nimekuja kuongea na mafundi kuongeza kasi ili kufikia mwisho wa mwezi June mwaka huu miradi iwe imekamilika." Amesema Serukamba.

Miradi iliyotembelewa ni miradi ya Sekta ya Elimu na Afya, huku lengo likiwa ni kuona maendeleo ya miradi hiyo na changamoto zilizopo na kuzitafutia ufumbuzi.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • ‎RC SERUKAMBA AITAKA TRA KUDHIBITI RISITI FEKI, KUHAMASISHA ELIMU YA KODI

    May 19, 2025
  • TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM MKOA WA IRINGA.

    May 18, 2025
  • UKAGUZI WA MIRADI HALMASHAURI YA WILAYA YA MUFINDI

    May 08, 2025
  • RC SERUKAMBA AHIMIZA UWAJIBIKAJI KWA VIONGOZI NA WATUMISHI

    May 07, 2025
  • Tazama zote

Video

RC SERUKAMBA: WANANCHI PAWAGA FANYENI KAZI KWA BIDII.
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Iringa
  • PReM
  • Investment profile
  • Ajira za waalimu
  • Press release

Tovuti Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji Kidunia

world map hits counter

Jumla ya Watembeleaji

COUNTER-free

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 4 Barabara ya Pawaga

    Anuani ya Posta: P.O.Box 858, 51108 Gangilonga, Iringa, Tanzania

    Simu: +255 262 702 715

    Mobile:

    Barua pepe: ras@iringa.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2025, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Iringa.