• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Iringa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahala
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Huduma ya Maji
      • Usimamizi wa Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Huduma za Kisheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Iringa
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Mufindi
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Kilolo
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
  • Halmashauri
    • Iringa MC
    • Mafinga Mji
    • Iringa DC
    • Kilolo DC
    • Mufindi DC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda na Biashara
    • Vivutio vya Kitalii
      • Fahari Yetu
      • CHOGELASAFARICAMP
      • Kitovu cha Utalii Nyanda za Juu Kusini
      • RUAHA HILLTOP
      • Hifadhi ya Taifa Ruaha
      • Udzungwa Mountains National Park
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Habari
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • News Later
    • Matukio

Vyombo vya Habari Vihamasishe Wasichana Chanjo ya Saratani – RC Iringa

Posted on: April 23rd, 2018

Na. Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Iringa

Vyombo vya habari mkoani Iringa vimetakiwa kuhamasisha jamii ili wasichana wenye umri wa miaka 14 waweze kuchanjwa kujikinga na saratani ya mlango wa kizazi inayoua wanawake wengi nchini.

Ombi hilo lilitolewa na mkuu wa mkoa wa Iringa, Amina Masenza alipokuwa akiongea na wahariri, mameneja vipindi na watangazaji wa redio za mkoa wa Iringa kuhusu nafasi yao katika kuhamasisha jamii juu ya chanjo mpya ya saratani ya mlango wa kizazi inayoanza kutekelezwa mkoani Iringa. Kikao hicho cha elimu na hamasa kilifanyika katika ukumbi wa mikutano wa chuo kikuu hurua mjini Iring.

Masenza alisema kuwa vyombo vya habari hasa redio vinanafasi kubwa ya kusaidia kufikisha elimu na hamasa kwa jamii juu ya kampeni zinazofanywa na serikali.

“Ombi kubwa la serikali ni kuwaomba wanahabari wote mliopo hapa mtusaidie kupeleka ujumbe huu wa kuanzishwa kwa chanjo ya saratani ya mlango wa kizazi kwa mabinti wa miaka 14 ili waweze kukingwa na madhara makubwa yanayoweza kuwapata hapo baadae ya kuugua kwa maumivu makali sana na hatimaye kifo. Wengi wetu tumetembelea Ocean Road na kuona jinsi jamaa zetu wanavyopata mateso makali” alisema Masenza.

Mkuu wa mkoa aliwashukuru wadau waliochangia katika kufanikisha utoaji bora wahuduma za chanjo hapa nchini.

“Natoa shukurani zangu za dhati kabisa kwa shirika la GAVI, Shirika la afya ulimwenguni WHO, Shirika la kuhudumia watoto UNICEF, CHAI, JSI, PATH, AMREF, JHPIEGO pamoja na wadau wengine kwa misaada yao ambayo imeweza kutufikisha hapo” alisema Masenza.

=30=

Matangazo

  • No records found
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC SERUKAMBA AMESHIRIKI NA MAMIA YA WAOMBOLEZAJI KWENYE MAZISHI YA MDOGO WAKE NA WAZIRI WA NCHI OFISI YA WAZIRI MKUU MHE WILLIAM LUKUVI

    June 07, 2025
  • WASHIRIKI 10,000 KUTIKISA MASHINDANO YA UMITASHUMTA NA UMISSETA 2025 MKOANI IRINGA

    June 06, 2025
  • MASHINDANO YA UMITASHUMTA NA UMISSETA KITAIFA YATAFANYIKA MKOA WA IRINGA

    June 02, 2025
  • KAMBI YA MADAKTARI BINGWA YA MAMA SAMIA YATUA IRINGA

    June 02, 2025
  • Tazama zote

Video

WASHIRIKI 10,000 KUTIKISA MASHINDANO YA UMITASHUMTA NA UMISSETA 2025 MKOANI IRINGA
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Iringa
  • PReM
  • Investment profile
  • Ajira za waalimu
  • Press release

Tovuti Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji Kidunia

world map hits counter

Jumla ya Watembeleaji

COUNTER-free

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 4 Barabara ya Pawaga

    Anuani ya Posta: P.O.Box 858, 51108 Gangilonga, Iringa, Tanzania

    Simu: +255 262 702 715

    Mobile:

    Barua pepe: ras@iringa.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2025, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Iringa.