• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Iringa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahala
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Huduma ya Maji
      • Usimamizi wa Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Huduma za Kisheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Iringa
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Mufindi
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Kilolo
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
  • Halmashauri
    • Iringa MC
    • Mafinga Mji
    • Iringa DC
    • Kilolo DC
    • Mufindi DC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda na Biashara
    • Vivutio vya Kitalii
      • Fahari Yetu
      • CHOGELASAFARICAMP
      • Kitovu cha Utalii Nyanda za Juu Kusini
      • RUAHA HILLTOP
      • Hifadhi ya Taifa Ruaha
      • Udzungwa Mountains National Park
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Habari
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • News Later
    • Matukio

RC Masenza aridhishwa na Maandalizi ya Maonesho Mei Mosi Iringa

Posted on: April 26th, 2018

Na. Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Iringa

Mkuu wa mkoa wa Iringa,  Amina Masenza ameridhishwa na hali ya maandalizi ya mabanda ya maonesho ya shughuli na huduma zinazofanywa na wafanyazi nchini.

Akitoa hali ya tathmini ya mabanda ya maonesho baada ya kuyatembelea jana jioni mbele ya waandishi wa habari katika uwanja wa maonesho wa Kichangani, Masenza alisema kuwa ameridhishwa na hali ya mabanda. “Hadi sasa mabanda yamekwisha pambwa vizuri na huduma na bidhaa mbalimbali zimeanza kuoneshwa mezani na wananchi wakitembelea mabanda hayo makumi kwa mamia”. Aidha, alitoa rai kwa wajasiriamali wa mkoa wa Iringa kuendelea kujitokeza kuonesha bidhaa zao kwa sababu nafasi za mabanda bado zipo. Alisema maonesho ya bidhaa na huduma za wanafanyakazi ni fursa nzuri kujitangaza na kutangaza huduma na bidhaa zinazofanywa na wafanyakazi ndani na nje ya mkoa.

Mkuu wa mkoa amewataka wananchi wote katika Manispaa ya Iringa na vitongoji vyake kujitokeza kwa wingi kutembelea mabanda na kujionea bidhaa na huduma zinazooneshwa pamoja na kujifunza mambo mbalimbali yanayohusu masuala afya na usalama mahala pa kazi. Alisema kuwa maonesho hayo yatafunguliwa rasmi tarehe 27/4/2-18.

Awali mkuu wa mkoa alitembelea uwanja wa michezo wa Samora kuangalia ukarabati kwa ajili ya maadhimisho ya sherehe za Mei Mosi, 2018.

Mkoa wa Iringa ni mwenyeji wa maadhimisho ya siku ya wafanyakazi (Mei Mosi) kitaifa na mgeni rasmi atakuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli.

=30=


Matangazo

  • No records found
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • ‎RC SERUKAMBA AITAKA TRA KUDHIBITI RISITI FEKI, KUHAMASISHA ELIMU YA KODI

    May 19, 2025
  • TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM MKOA WA IRINGA.

    May 18, 2025
  • UKAGUZI WA MIRADI HALMASHAURI YA WILAYA YA MUFINDI

    May 08, 2025
  • RC SERUKAMBA AHIMIZA UWAJIBIKAJI KWA VIONGOZI NA WATUMISHI

    May 07, 2025
  • Tazama zote

Video

RC SERUKAMBA: WANANCHI PAWAGA FANYENI KAZI KWA BIDII.
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Iringa
  • PReM
  • Investment profile
  • Ajira za waalimu
  • Press release

Tovuti Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji Kidunia

world map hits counter

Jumla ya Watembeleaji

COUNTER-free

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 4 Barabara ya Pawaga

    Anuani ya Posta: P.O.Box 858, 51108 Gangilonga, Iringa, Tanzania

    Simu: +255 262 702 715

    Mobile:

    Barua pepe: ras@iringa.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2025, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Iringa.