• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Iringa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahala
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Huduma ya Maji
      • Usimamizi wa Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Huduma za Kisheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Iringa
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Mufindi
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Kilolo
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
  • Halmashauri
    • Iringa MC
    • Mafinga Mji
    • Iringa DC
    • Kilolo DC
    • Mufindi DC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda na Biashara
    • Vivutio vya Kitalii
      • Fahari Yetu
      • CHOGELASAFARICAMP
      • Kitovu cha Utalii Nyanda za Juu Kusini
      • RUAHA HILLTOP
      • Hifadhi ya Taifa Ruaha
      • Udzungwa Mountains National Park
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Habari
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • News Later
    • Matukio

RC IRINGA APONGEZA JUHUDU ZA SAVE THE CHILDREN

Posted on: November 17th, 2017

RC IRINGA APONGEZA JUHUDU ZA SAVE THE CHILDREN

Na.Ofisi ya Mkuu wa Mkoa-IRINGA

Mkuu wa mkoa wa Iringa, mheshimiwa Amina Masenza amepongeza juhudi zinazofanywa na shirika lisilo la kiserikali la Save the Children kwa kuunga mkono juhudi za serikali za kuwahudumia wananchi wake.

Pongezi hizo alizitoa alipokuwa akiongea katika kipindi cha moja kwa moja cha nyota ya asubuhi kinachorushwa na kituo cha redio Furaha cha mjini Iringa leo.

Mheshimiwa Masenza alisema kuwa mkoa wa Iringa umeandaa kampeni ya kupima afya “afya check campaign” na kufadhiliwa na shirika la Save the Children. “Save the Children wamejipanga kutusaidia kwelikweli hivyo, tuwape ushirikiano mkubwa katika kutekeleza majukumu yao. Serikali inatambua na kuthamini mchango wa shirika hilo kwa ustawi wa afya za wananchi wetu. Kweli shirika hili linaunga mkono juhudi zinazofanywa na Rais wetu Dr John Magufuli za kuhakikisha wananchi wake wanakuwa na afya njema ili washiriki katika ujenzi wa Taifa” alisema Mheshimiwa Masenza.

Akiongelea umuhimu wa kupima afya, mkuu wa mkoa alisema “mtu anayeogopa kujua afya yake ni mtu wa ovyo”. Alisema kuwa kupima afya ni ustaarabu na kuwataka wananchi kujitokeza kupima afya zao katika kampeni hiyo.

Aidha, aliwataka wakuu wa wilaya kuwasimamia madaktari katika wilaya zao ili wananchi waweze kupimwa magonjwa yasiyo ya kuambukiza. Alisema kuwa upimaji huo katika wilaya utasaidia kuibua wagonjwa wa kifua kikuu na kuanzishiwa matibabu bure.

Mkoa wa Iringa katika kuadhimisha siku ya kisukari duniani inayoadhimishwa kila tarehe 14 Novemba uliamua kuadhimisha kwa kampeni ya kupima afya na uzinduzi wa ufunguzi wa kifua kikuu ngazi ya jamii. Uzinduzi tafanyika katika bustani ya Manispaa maarufu kama Garden kesho tarehe 18 Novemba, 2017.

=30=



Matangazo

  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI KIDATO CHA KWANZA - 2023 December 17, 2022
  • MAADHIMISHO YA KARIBU KUSINI MWAKA 2022 September 19, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KONGAMANO LA FUNDI SMART LAFANYIKA LEO IRINGA .

    March 17, 2023
  • Mkuu wa mkoa wa Iringa Mhe. Halima O. Dendego akifungua kikao cha kamati ya Ushauri ya Mkoa (RCC) kilichofanyika leo tarehe 25/03/2023 katika Ukumbi wa Siasa ni Kilimo uliopo katika Halmashauri ya Manispaa ya İringa

    March 14, 2023
  • TUNATAKA KUONA MAPINDUZI YA KIJANI KATIKA MKOA WA IRINGA: RC DENDEGO

    February 28, 2023
  • FANYENI KAZI KUWAHUDUMIA WANANCHI

    February 21, 2023
  • Tazama zote

Video

UZINDUZI WA ZAHANATI YA ITAGUTWA
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Iringa
  • PReM
  • Investment profile
  • Ajira za waalimu
  • Press release

Tovuti Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji Kidunia

world map hits counter

Jumla ya Watembeleaji

COUNTER-free

Ramani

Wasiliana Nasi

    Pawaga Road

    Anuani ya Posta: P.O.Box 858, Iringa

    Simu: +255 262 702 715

    Mobile:

    Barua pepe: ras@iringa.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2021, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Iringa.