• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Iringa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahala
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Huduma ya Maji
      • Usimamizi wa Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Huduma za Kisheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Iringa
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Mufindi
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Kilolo
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
  • Halmashauri
    • Iringa MC
    • Mafinga Mji
    • Iringa DC
    • Kilolo DC
    • Mufindi DC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda na Biashara
    • Vivutio vya Kitalii
      • Fahari Yetu
      • CHOGELASAFARICAMP
      • Kitovu cha Utalii Nyanda za Juu Kusini
      • RUAHA HILLTOP
      • Hifadhi ya Taifa Ruaha
      • Udzungwa Mountains National Park
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Habari
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • News Later
    • Matukio

RC HAPI ARIDHISHWA UTEKELEZAJI ILANI YA CCM

Posted on: September 20th, 2018

Na. Dennis Gondwe, Afisa Habari Ofisi ya Mkuu wa Mkoa-IRINGA

Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mhe Ally Hapi ameridishwa na utekelezaji wa Ilani ya uchaguzi ya CCM katika ujenzi na ukarabati wa shule ya sekondari ya ufundi ya Ifunda uliotumia zaidi ya shilingi bilioni tatu.

Mhe Hapi alisema hayo baada ya kukagua ujenzi na ukarabati wa miundombinu ya shule ya sekondari ya ufundi ya Ifunda na kuongea na jumuiya ya wanafunzi na wafanyakazi wa shule hiyo leo. “Nimefurahi kuona kazi za utekelezaji wa Ilani ya uchaguzi ya CCM katika kukarabati shule kongwe nchini. Serikali ilifanya juhudi za kuziokoa shule kongwe ili wanafunzi waweze kusoma katika mazingira mazuri” alisisitiza Mhe Hapi.

Mkuu wa mkoa alisema kuwa ujenzi na ukarabati wa shule hiyo umelenga kuwawekea mazingira mazuri ya walimu ya kufundishia na wanafunzi kujisomea. “Ndugu zangu ujenzi na ukarabati wa miundombinu katika shule hii unalenga pia kuondoa mirorogo na migomo kutokana na ubovu na uchakavu wa miundombinu. Tunamshukuru Mhe Rais kwa kuamua kukarabati shule hii. Hapa pekee serikali imeleta shilingi Bilioni 3.6. ni fedha inayoweza kujenga vituo 9 vya afya. Serikali imeamua fedha zote ziletwe hapa, wanafunzi na walimu mnatakiwa kujivunia jambo hili” alisema Mhe Hapi.

Aliwataka walimu na wanafunzi kutunza miundombinu hiyo ili iweze kudumu na kunufaisha vizazi vijavyo.

Katika taarifa ya ukarabati mkubwa katika shule ya sekondari ya ufundi Ifunda kwa programu ya lipa kulingana na matokeo iliyosomwa na mkuu wa shule hiyo Mwl Yusuph Mwagala, alisema kuwa wizara yenye dhamana na elimu iliingia mkataba na chuo kikuu cha Sayansi na Teknolojia–Mbeya kuwa msimamizi mshauri wa mradi wa ukarabati wa miundombinu katika shule ya sekondari ya ufundi Ifunda. “Ukarabati huo ulilenga kuboresha miundombinu ya mabweni, madarasa, matundu ya vyoo, karakana za ufundi, vyumba vya maabara, ukumbi wa mikutano, mabwalo ya kulia chakula, jiko, ofisi ya walimu, jingo la utawala, maktaba, mfumo wa umeme na mfumo wa maji safi na taka. Gharama ya mradi huo ni shilingi 3,609,199,839” alisema Mwl Mwagala.

=30=



Matangazo

  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI KIDATO CHA KWANZA - 2023 December 17, 2022
  • MAADHIMISHO YA KARIBU KUSINI MWAKA 2022 September 19, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KONGAMANO LA FUNDI SMART LAFANYIKA LEO IRINGA .

    March 17, 2023
  • Mkuu wa mkoa wa Iringa Mhe. Halima O. Dendego akifungua kikao cha kamati ya Ushauri ya Mkoa (RCC) kilichofanyika leo tarehe 25/03/2023 katika Ukumbi wa Siasa ni Kilimo uliopo katika Halmashauri ya Manispaa ya İringa

    March 14, 2023
  • TUNATAKA KUONA MAPINDUZI YA KIJANI KATIKA MKOA WA IRINGA: RC DENDEGO

    February 28, 2023
  • FANYENI KAZI KUWAHUDUMIA WANANCHI

    February 21, 2023
  • Tazama zote

Video

UZINDUZI WA ZAHANATI YA ITAGUTWA
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Iringa
  • PReM
  • Investment profile
  • Ajira za waalimu
  • Press release

Tovuti Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji Kidunia

world map hits counter

Jumla ya Watembeleaji

COUNTER-free

Ramani

Wasiliana Nasi

    Pawaga Road

    Anuani ya Posta: P.O.Box 858, Iringa

    Simu: +255 262 702 715

    Mobile:

    Barua pepe: ras@iringa.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2021, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Iringa.