• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Iringa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahala
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Huduma ya Maji
      • Usimamizi wa Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Huduma za Kisheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Iringa
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Mufindi
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Kilolo
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
  • Halmashauri
    • Iringa MC
    • Mafinga Mji
    • Iringa DC
    • Kilolo DC
    • Mufindi DC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda na Biashara
    • Vivutio vya Kitalii
      • Fahari Yetu
      • CHOGELASAFARICAMP
      • Kitovu cha Utalii Nyanda za Juu Kusini
      • RUAHA HILLTOP
      • Hifadhi ya Taifa Ruaha
      • Udzungwa Mountains National Park
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Habari
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • News Later
    • Matukio

RC HAPI AMWAGA VIFAA VYA MICHEZO SEC IFUNDA

Posted on: September 20th, 2018

Na. Dennis Gondwe, Afisa Habari Ofisi ya Mkuu wa Mkoa- IRINGA

Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mhe Ally Hapi ametoa vifaa vya michezo kwa shule ya sekondari ya ufundi Ifunda ili kuhamasisha michezo na nidhamu shuleni hapo.

Mhe Hapi alitoa ahadi ya kuinunulia vifaa vya michezo shule hiyo alipokuwa akiongea na jumuiya ya shule hiyo iliyokutanisha pamoja walimu, wanafunzi na wafanyakazi baada ya kufanya ziara ya kukagua ujenzi wa miundombinu ya shule hizo uliogharimu zaidi ya shilingi bilioni 3.

Mhe Hapi ambaye alikuwa kaka mkuu katika shule ya ufundi ya wavulana Bwiru katika kipindi chake aliwataka walimu na wanafunzi wa shule hiyo kudumisha nidhamu na kuchapa kazi. “shukrani ya pekee mnayoweza kutoa kwa serikali ni matokeo mazuri katika masomo yenu.

Vifaa alivyochangia ni mipira (5) ya basketi, mipira (5) ya soka, mipira (5) netiboli, mipira (3) voliboli, neti (2) kwa ajili ya mpira wa soka na neti (1) kwa ajili ya voliboli. Vilevile, aliahidi shilingi 500,000 kwa ajili ya klabu ya “debate”.

Katika hatua nyingine, Mkuu wa Mkoa akiwa katika shule ya sekondari ya wasichana ya Ifunda aliahidi mipira (5) ya netiboli na kukabidhi shilingi 100,000 kwa kwaya ya shule hiyo.

Ikumbukwe kuwa Mkuu wa Mkoa yupo katika siku yake ya pili ya ziara yake ya Tarafa kwa Tarafa wilayani Iringa katika Tarafa ya Kiponzelo.

=30=



Matangazo

  • No records found
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC SERUKAMBA AMESHIRIKI NA MAMIA YA WAOMBOLEZAJI KWENYE MAZISHI YA MDOGO WAKE NA WAZIRI WA NCHI OFISI YA WAZIRI MKUU MHE WILLIAM LUKUVI

    June 07, 2025
  • WASHIRIKI 10,000 KUTIKISA MASHINDANO YA UMITASHUMTA NA UMISSETA 2025 MKOANI IRINGA

    June 06, 2025
  • MASHINDANO YA UMITASHUMTA NA UMISSETA KITAIFA YATAFANYIKA MKOA WA IRINGA

    June 02, 2025
  • KAMBI YA MADAKTARI BINGWA YA MAMA SAMIA YATUA IRINGA

    June 02, 2025
  • Tazama zote

Video

WASHIRIKI 10,000 KUTIKISA MASHINDANO YA UMITASHUMTA NA UMISSETA 2025 MKOANI IRINGA
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Iringa
  • PReM
  • Investment profile
  • Ajira za waalimu
  • Press release

Tovuti Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji Kidunia

world map hits counter

Jumla ya Watembeleaji

COUNTER-free

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 4 Barabara ya Pawaga

    Anuani ya Posta: P.O.Box 858, 51108 Gangilonga, Iringa, Tanzania

    Simu: +255 262 702 715

    Mobile:

    Barua pepe: ras@iringa.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2025, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Iringa.