• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Iringa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahala
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Huduma ya Maji
      • Usimamizi wa Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Huduma za Kisheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Iringa
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Mufindi
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Kilolo
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
  • Halmashauri
    • Iringa MC
    • Mafinga Mji
    • Iringa DC
    • Kilolo DC
    • Mufindi DC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda na Biashara
    • Vivutio vya Kitalii
      • Fahari Yetu
      • CHOGELASAFARICAMP
      • Kitovu cha Utalii Nyanda za Juu Kusini
      • RUAHA HILLTOP
      • Hifadhi ya Taifa Ruaha
      • Udzungwa Mountains National Park
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Habari
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • News Later
    • Matukio

RC DENDEGO AINGIA KAZINI KUSAKA MAMBA MTERA

Posted on: January 11th, 2024

Ikiwa ni siku chache vyombo vya habari kuripoti tukio la mwananchi aliyeliwa na mamba katika bwawa la mtera lililopo kata ya migori, Halmashauri ya Wilaya ya Iringa, Mkuu wa mkoa wa Iringa Mhe. Halima Dendego leo amefanya ziara katika kata hiyo na kuonana na wananchi na wavuvi wanaovua katika Bwawa hilo.

Awali kabla ya kuzungumza na wananchi hao Mkuu wa Mkoa alisikiliza maoni yao na kutaka kufahamu nini kifanyike ili kukabiliaba na mamba hao, ambapo wananchi hao walimuomba Mkuu wa Mkoa kwa kuwa Silaha za kisasa kama Bunduki zinashindwa kufanya kazi majini basi waweze kutumia silaha za asili kama ndoano katika kuwanasa mamba hao ambao wamekuwa na madhara kwa binadamu.

Akizungumza na wananchi hao baada ya kusikiliza maoni yao Mhe. Dendego akatoa maagizo kwa viongozi wa eneo hilo kwa kuwataka kuanza kazi mara moja ya kutega ndoano ili kuwanansa mamba hao pia akawataka TAWA kushirikiana kwa pamoja na viongozi na wananchi katika kila hatua inayofanyika ili kuondokana na changamoto hiyo.

Pia Mhe. Dendego ameongeza kwa kuwaomba wavuvi hao katika kipindi hiki wanapokwenda bwawani kuvua kuhakikisha wananenda kwa makundi ya watu kadhaa na sio kwenda mmoja mmoja ili linapotaka kutokea jambo basi wahakikishe wanakuwa karibu kuweza kusaidiana wakiwa bwawani.

Aidha Mhe. Dendego amesema kuwa katika mwaka wa fedha Serikali itatenga fedha kwa wananchi wa kata hiyo kwaajili ya ununzi wa Boti zitakazo wasaidia wavuvi hao katika shuguli zao na kuachana na mitumbwi ambayo kwa sasa inawaletea matatizo pindi wanapofanya shughuli za uvuvi.

Sambamba na hayo wananchi wa kata ya migoli wamemshukuru sana Mkuu wa Mkoa na Serikali kwa kuwatengea fedha kwaajili ya ununuzi wa boti wakisema kuwa uwepo wa boti hizo utakuwa ni mkombozi kwao na hakuta kuwa na madhara kama hayo.

Imetolewa na Kitengo cha Mawasiliano Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Iringa.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC SERUKAMBA AMESHIRIKI NA MAMIA YA WAOMBOLEZAJI KWENYE MAZISHI YA MDOGO WAKE NA WAZIRI WA NCHI OFISI YA WAZIRI MKUU MHE WILLIAM LUKUVI

    June 07, 2025
  • WASHIRIKI 10,000 KUTIKISA MASHINDANO YA UMITASHUMTA NA UMISSETA 2025 MKOANI IRINGA

    June 06, 2025
  • MASHINDANO YA UMITASHUMTA NA UMISSETA KITAIFA YATAFANYIKA MKOA WA IRINGA

    June 02, 2025
  • KAMBI YA MADAKTARI BINGWA YA MAMA SAMIA YATUA IRINGA

    June 02, 2025
  • Tazama zote

Video

WASHIRIKI 10,000 KUTIKISA MASHINDANO YA UMITASHUMTA NA UMISSETA 2025 MKOANI IRINGA
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Iringa
  • PReM
  • Investment profile
  • Ajira za waalimu
  • Press release

Tovuti Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji Kidunia

world map hits counter

Jumla ya Watembeleaji

COUNTER-free

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 4 Barabara ya Pawaga

    Anuani ya Posta: P.O.Box 858, 51108 Gangilonga, Iringa, Tanzania

    Simu: +255 262 702 715

    Mobile:

    Barua pepe: ras@iringa.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2025, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Iringa.