• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Iringa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahala
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Huduma ya Maji
      • Usimamizi wa Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Huduma za Kisheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Iringa
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Mufindi
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Kilolo
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
  • Halmashauri
    • Iringa MC
    • Mafinga Mji
    • Iringa DC
    • Kilolo DC
    • Mufindi DC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda na Biashara
    • Vivutio vya Kitalii
      • Fahari Yetu
      • CHOGELASAFARICAMP
      • Kitovu cha Utalii Nyanda za Juu Kusini
      • RUAHA HILLTOP
      • Hifadhi ya Taifa Ruaha
      • Udzungwa Mountains National Park
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Habari
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • News Later
    • Matukio

ORODHA YA WAPORAJI MALI ZA USHIRIKA IRINGA KUANDALIWA

Posted on: October 16th, 2018

Na. Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, IRINGA

Mrajis msaidizi wa vyama vya ushirika Mkoa wa Iringa ametakiwa kuwasilisha orodha ya watu wote waliopora mali za ushirika ili hatua za kisheria ziweze kuchukuliwa dhidi yao.

Agizo hilo lilitolewa na mwenyekiti wa Tume ya maendeleo ya Ushirika Dkt Titus Kamani jana alipokuwa akiongea na viongozi wa vyama vya kuweka na kukopa (SACCOS) na vyama vya ushirika vya kilimo na masoko (AMKOS) katika ukumbi wa chuo cha ushirika Moshi tawi la Iringa.

Dkt Kamani alisema “Mrajis msaidizi wa vyama vya ushirika Mkoa wa Iringa, nataka orodha ya wote waliopora mali za ushirika. Serikali haiwezi kufumbia macho uporaji huo, lazima warudishe mali za ushirika na sheria kuchukua mkondo wake”. Aidha, alimtaka kuhakikisha watu waliofanya ubadhilifu wa mali za Soko Kuu SACCOS watafutwe na kufikishwa katika vyombo vya sheria.

Mwenyekiti wa Tume ya maendeleo ya ushirika alisema kuwa muda wa dili umekwisha. “Serikali ya awamu ya tano, kupitia Ilani ya uchaguzi ya CCM imedhamiria kuhakikisha ushirika unasonga mbele. Hivyo, haitamvumilia mtu yeyoye mwenye nia ya kuwakisha juhudi za wanaushirika kujikomboa kupitia SACCOS” alisema Dkt Kamani.

Ikumbukwe kuwa maadhimisho ya siku ya kimataifa ya ushirika wa akiba na mikopo (..) yatafanyika mkoani Iringa na kilele chake tarehe 18 Septemba, 2018 katika uwanja wa Kichangani mjini Iringa.



Matangazo

  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI KIDATO CHA KWANZA - 2023 December 17, 2022
  • MAADHIMISHO YA KARIBU KUSINI MWAKA 2022 September 19, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KONGAMANO LA FUNDI SMART LAFANYIKA LEO IRINGA .

    March 17, 2023
  • Mkuu wa mkoa wa Iringa Mhe. Halima O. Dendego akifungua kikao cha kamati ya Ushauri ya Mkoa (RCC) kilichofanyika leo tarehe 25/03/2023 katika Ukumbi wa Siasa ni Kilimo uliopo katika Halmashauri ya Manispaa ya İringa

    March 14, 2023
  • TUNATAKA KUONA MAPINDUZI YA KIJANI KATIKA MKOA WA IRINGA: RC DENDEGO

    February 28, 2023
  • FANYENI KAZI KUWAHUDUMIA WANANCHI

    February 21, 2023
  • Tazama zote

Video

UZINDUZI WA ZAHANATI YA ITAGUTWA
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Iringa
  • PReM
  • Investment profile
  • Ajira za waalimu
  • Press release

Tovuti Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji Kidunia

world map hits counter

Jumla ya Watembeleaji

COUNTER-free

Ramani

Wasiliana Nasi

    Pawaga Road

    Anuani ya Posta: P.O.Box 858, Iringa

    Simu: +255 262 702 715

    Mobile:

    Barua pepe: ras@iringa.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2021, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Iringa.