• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Iringa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahala
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Huduma ya Maji
      • Usimamizi wa Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Huduma za Kisheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Iringa
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Mufindi
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Kilolo
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
  • Halmashauri
    • Iringa MC
    • Mafinga Mji
    • Iringa DC
    • Kilolo DC
    • Mufindi DC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda na Biashara
    • Vivutio vya Kitalii
      • Fahari Yetu
      • CHOGELASAFARICAMP
      • Kitovu cha Utalii Nyanda za Juu Kusini
      • RUAHA HILLTOP
      • Hifadhi ya Taifa Ruaha
      • Udzungwa Mountains National Park
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Habari
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • News Later
    • Matukio

MWENGE WA UHURU KUZINDUA MIRADI 39 YENYE THAMANI YA SHILINGI 24,191,060,696.40

Posted on: May 23rd, 2018

Na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Iringa

Mwenge wa uhuru ukiwa mkoani Iringa utazindua, kukagua na kuweka mawe ya msingi miradi ya maendeleo 39 yenye thamani ya shilingi 24,191,060,696.40.

Hayo yalisemwa na mkuu wa Mkoa wa Iringa, Amina Masenza alipokuwa akisoma taarifa ya Mkoa wakati wa kupokea Mwenge wa uhuru ukitokea Mkoa wa Mbeya leo.

Masenza alisema kuwa Mwenge wa uhuru ukiwa mkoani Iringa utakimbizwa katika halmashauri tano na kuhimiza na kuhamasisha shughuli za maendeleo. “Jumla ya miradi ya maendeleo 39 yenye thamani ya shilingi 24,191,060,696.40 itazinduliwa, itawekwa mawe ya msingi na kukaguliwa” alisema Masenza. Pamoja na kutembelea miradi ya maendeleo, Mwenge wa uhuru katika maeneo yote utakapokimbiza utatoa ujumbe maalum wa mwaka 2018 usemao ‘elimu ni ufunguo wa Maisha wekeza sasa kwa maendeleo ya taifa letu’.  

Masenza alisema kuwa ujumbe wa Mwenge mwaka huu unabeba maudhui muhimu wakati serikali ya awamu ya tano imedhamiria kujenga uchumi wa viwanda. “Ni ukweli usiopingika kwamba ili kufikia adhima hii ni lazima kuwekeza vya kutosha katika elimu ili kuweza kuwa na rasilimali watu wenye ujuzi na maarifa ya kutosha” alisema Masenza.

=30=



Matangazo

  • BURIANI HAYATI RAIS JOHN POMBE MAGUFULI March 19, 2021
  • Ratiba ya Mhe. Mkuu wa Mkoa kwa Mwezi Machi March 08, 2019
  • Ratiba ya Mh. Mkuu wa Mkoa kwa Mwezi Aprili April 04, 2019
  • Rc Hapi Aanza Ziara Kukagua Miradi Halmashauri Za Iringa August 27, 2019
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MKUU WA MKOA QUEEN SENDIGA AWATAKA WAKUFUNZI WA MRADI WA SEQUIP KUFWATA KILICHO WALETA .

    June 22, 2022
  • RC SENDIGA AONGOZA KIKAO KAZI CHA KUFANYA TATHIMINI UTENDAJI WA TASAF.

    June 21, 2022
  • CCM MKOA WA IRINGA WANAFANYA KAZI KWA USHIRIKIANO MKUBWA NA SERIKALI YA MKOA NDIO MAANA KUNAUTULIVU MKUBWA NA KASI KUBWA YA MAENDELEO.

    June 17, 2022
  • SENEDA AWAPONGEZA MAAFISA ELIMU WOTE NDANI YA MKOA WA IRINGA KWA ONGEZEKO LA UFAULU MZURI KITAIFA.

    June 14, 2022
  • Tazama zote

Video

MAFANIKIO YA TARURA NA TANROADS MKOA WA IRINGA YAPAMBA MBOTO
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Iringa
  • PReM
  • Investment profile
  • Ajira za waalimu
  • Press release

Tovuti Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji Kidunia

world map hits counter

Jumla ya Watembeleaji

COUNTER-free

Ramani

Wasiliana Nasi

    Pawaga Road

    Anuani ya Posta: P.O.Box 858, Iringa

    Simu: +255 262 702 715

    Mobile:

    Barua pepe: ras@iringa.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2021, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Iringa.