• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Iringa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahala
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Huduma ya Maji
      • Usimamizi wa Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Huduma za Kisheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Iringa
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Mufindi
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Kilolo
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
  • Halmashauri
    • Iringa MC
    • Mafinga Mji
    • Iringa DC
    • Kilolo DC
    • Mufindi DC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda na Biashara
    • Vivutio vya Kitalii
      • Fahari Yetu
      • CHOGELASAFARICAMP
      • Kitovu cha Utalii Nyanda za Juu Kusini
      • RUAHA HILLTOP
      • Hifadhi ya Taifa Ruaha
      • Udzungwa Mountains National Park
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Habari
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • News Later
    • Matukio

MKUU WA MKOA WA IRINGA MHE. SENDIGA AWASHUKIA MADEREVA NA MAKONDAKTA WA DALADALA KUWEKA VIFAA VYA KUHIFADHIA TAKA NDANI YA GARI

Posted on: June 28th, 2021

*MKUU WA MKOA WA IRINGA MHE. SENDIGA AWASHUKIA MADEREVA NA MAKONDAKTA WA DALADALA KUWEKA VIFAA VYA KUHIFADHIA TAKA NDANI YA GARI*


Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mhe.Qeen Sendiga amezindua kampeni ya Iringa safi iliyofanyika leo tarehe 26/6/2021 mara baada ya matembezi ya hiyari ya kuokota taka taka kwa lengo la kuhamasisha jamii kushiriki katika masuala ya usafi na utuzaji wa Mazingira


Mh.Sendiga amewataka wananchi kutimiza wajibu wao wa  kufanya usafi  bila kusubiri kuhamasishwa na viongozi kwani usafi ni jukumu la kila mmoja


Aidha ametoa wito kwa madereva wa daladala  na makondakta kuwa na vifaa vya kuhifadhia taka katika gari zao ili kuepusha mlundikano wa taka katika eneo la stendi kuu ya zamani unasababishwa na baadhi yao kutupa taka eneo hilo jambo ambalo linahatarisha  afya za wananchi


Mh.Eliud Mvela ni Diwani wa Kata ya Mkimbizi akimuwakilisha Mstahiki Meya  amesema  kwa muda mrefu Manispaa ya Iringa inafanya vizuri katika  mashindano ya usafi wa Mazingira  ambayo hujumuisha Majiji,Miji, na Halmashauri zote nchini na imekuwa ikishika nafasi za juu  za ushindi na kwa mwaka huu kutokana na mikakati iliyowekwa na Madiwani kwa kushirikiana na Menejimenti kwenye vikao vya ndani amemuhakikishia Mkuu wa Mkoa kuwa Manispaa itashika nafasi ya kwanza katika mashindano hayo


Abdon Mapunda ni kaimu Mkurugenzi wa Manispaa ya Iringa na mkuu wa kitengo cha Mazingira  amesema anapokea maelekezo yote yaliyotolewa na Mkuu wa Mkoa  ikiwemo kukamatwa kwa yeyote atakayeonekana kutupa taka hovyo na kuahidi kuyafanyia kazi mara moja


Paulo Myovela ni mwenyekiti wa Envibright anasema  changamoto kubwa wanazokabiliana nazo ni upungufu wa vifaa na kuwaomba wadau kujitokeza kusaidia vifaa vitakavyorahisisha utendaji kazi ili kufikia malengo


Kampeni hiyo ya Iringa safi imezinduliwa leo na kuhudhuriwa na viongozi  mbali mbali wakiwepo Waheshimiwa Madiwani,wakuu wa idara na vitengo na wadau Nipe fagio pamoja na Envibright.


Matangazo

  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI KIDATO CHA KWANZA - 2023 December 17, 2022
  • MAADHIMISHO YA KARIBU KUSINI MWAKA 2022 September 19, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KONGAMANO LA FUNDI SMART LAFANYIKA LEO IRINGA .

    March 17, 2023
  • Mkuu wa mkoa wa Iringa Mhe. Halima O. Dendego akifungua kikao cha kamati ya Ushauri ya Mkoa (RCC) kilichofanyika leo tarehe 25/03/2023 katika Ukumbi wa Siasa ni Kilimo uliopo katika Halmashauri ya Manispaa ya İringa

    March 14, 2023
  • TUNATAKA KUONA MAPINDUZI YA KIJANI KATIKA MKOA WA IRINGA: RC DENDEGO

    February 28, 2023
  • FANYENI KAZI KUWAHUDUMIA WANANCHI

    February 21, 2023
  • Tazama zote

Video

UZINDUZI WA ZAHANATI YA ITAGUTWA
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Iringa
  • PReM
  • Investment profile
  • Ajira za waalimu
  • Press release

Tovuti Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji Kidunia

world map hits counter

Jumla ya Watembeleaji

COUNTER-free

Ramani

Wasiliana Nasi

    Pawaga Road

    Anuani ya Posta: P.O.Box 858, Iringa

    Simu: +255 262 702 715

    Mobile:

    Barua pepe: ras@iringa.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2021, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Iringa.