• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Iringa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahala
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Huduma ya Maji
      • Usimamizi wa Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Huduma za Kisheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Iringa
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Mufindi
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Kilolo
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
  • Halmashauri
    • Iringa MC
    • Mafinga Mji
    • Iringa DC
    • Kilolo DC
    • Mufindi DC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda na Biashara
    • Vivutio vya Kitalii
      • Fahari Yetu
      • CHOGELASAFARICAMP
      • Kitovu cha Utalii Nyanda za Juu Kusini
      • RUAHA HILLTOP
      • Hifadhi ya Taifa Ruaha
      • Udzungwa Mountains National Park
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Habari
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • News Later
    • Matukio

Mkuu wa mkoa wa Iringa Mh. Queen Sendiga kushirikiana na kamati ya siasa ya mkoa amefanya ziara ya siku mbili katika halmashauri ya wilaya ya mufindi

Posted on: January 14th, 2022

Mkuu wa mkoa wa Iringa Mh. Queen Sendiga kushirikiana na kamati ya siasa ya mkoa amefanya ziara ya siku mbili katika halmashauri ya wilaya ya mufindi tareh 14-15 Januari 2022 kwa ajili ya kutembelea miradi iliyotekelezwa katika wilaya ya mufindi ambayo ni miradi ya elimu, maji na barabara miradi hii imetekelezwa kwa pesa za UVIKO-19, Tozo na fedha za ndani kutoka kwa wanachi kwa lengo la kuleta maendeleo katika wilaya hiyo.

Miradi ilikabidhiwa kwa mkuu wa mkoa tarehe 11-01-2022 ikiwa imekamilika kwa asilimia mia na ye mkuu wa mkoa amekabidhi miradi hiyo kwa kamati ya siasa mkoa wa Iringa ikiwa ni madarasa miradi ya maji katika vijiji tofauti pamoja na barabara.

Mwenyekiti wa kamati ya siasa mkoa wa Iringa Dr. Abel Nyamahanga amepokea miradi hiyo na kuridhishswa na utendaji kazi wa serikali mkoa wa Iringa.Amepongeza mkuu wa mkoa na team yake yote kwa utendaji na kazi nzuri iliyofanyika katika wilaya ya mufindi

“kwa kipeke tuseme tu kwamba tumeridhika sana na miradi yote ni jambo la kupongeza sana kama chama hatuna malalamiko mkuu wa mkoa nakushukuru sana “ amesema Dr. Nyamahanga

Pia Dr. Nyamahanga amewataka viongozi wa wilaya kuweka utaratibu mzuri wa kuonesha fedha zilizotekeleza miradi zimetoka wapi kama ni UVIKO 19,tozo au fedha za ndani hii itasaidia wananchi kuelewa matumizi ya mapato katika wilaya yao.

“tuwatie moyo katika shughuli wanazofanya lakini pili tuwe na report kamili kubadika hapo taarifa watahamisika kuelewa matumizi ndio uwazi na ukweli” ameongeza Dr Nyamahanga

Mkuu wa mkoa Mh.Queen Sendiga amemuondoa shaka mwenyekiti wa kamati ya siasa juu ya utekelezaji wa ilani ya chama katika mkoa na miradi yote imetekelezwa kulingana na maelekezo ya chama kwa serikali.

Mh.queen Sendiga ametumia wakati huu wa kukabidhi miradi kushukuru viongozi wote na mashirika yote ambayo ameshirikiana nao katika kutekeleza miradi hiyo kwa muda mfupi na kukamilika katika ubora na kiwango kizuri.

“naomba niwashukuru wajumbe wenzangu wa kamati ya siasa na kipekee niishukuru timu yangu ya mkoa wakuu wa vitengo, viongozi wa taasisi TARURA, TANESCO na IRUWASA hakika ushirikiano wenu ndio umefanikisha haya yote “ amesema Mh Queen Sendiga


Matangazo

  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI KIDATO CHA KWANZA - 2023 December 17, 2022
  • MAADHIMISHO YA KARIBU KUSINI MWAKA 2022 September 19, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KONGAMANO LA FUNDI SMART LAFANYIKA LEO IRINGA .

    March 17, 2023
  • Mkuu wa mkoa wa Iringa Mhe. Halima O. Dendego akifungua kikao cha kamati ya Ushauri ya Mkoa (RCC) kilichofanyika leo tarehe 25/03/2023 katika Ukumbi wa Siasa ni Kilimo uliopo katika Halmashauri ya Manispaa ya İringa

    March 14, 2023
  • TUNATAKA KUONA MAPINDUZI YA KIJANI KATIKA MKOA WA IRINGA: RC DENDEGO

    February 28, 2023
  • FANYENI KAZI KUWAHUDUMIA WANANCHI

    February 21, 2023
  • Tazama zote

Video

UZINDUZI WA ZAHANATI YA ITAGUTWA
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Iringa
  • PReM
  • Investment profile
  • Ajira za waalimu
  • Press release

Tovuti Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji Kidunia

world map hits counter

Jumla ya Watembeleaji

COUNTER-free

Ramani

Wasiliana Nasi

    Pawaga Road

    Anuani ya Posta: P.O.Box 858, Iringa

    Simu: +255 262 702 715

    Mobile:

    Barua pepe: ras@iringa.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2021, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Iringa.