• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Iringa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahala
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Huduma ya Maji
      • Usimamizi wa Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Huduma za Kisheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Iringa
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Mufindi
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Kilolo
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
  • Halmashauri
    • Iringa MC
    • Mafinga Mji
    • Iringa DC
    • Kilolo DC
    • Mufindi DC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda na Biashara
    • Vivutio vya Kitalii
      • Fahari Yetu
      • CHOGELASAFARICAMP
      • Kitovu cha Utalii Nyanda za Juu Kusini
      • RUAHA HILLTOP
      • Hifadhi ya Taifa Ruaha
      • Udzungwa Mountains National Park
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Habari
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • News Later
    • Matukio

MKUU WA MKOA QUEEN SENDIGA AWATAKA WAKUFUNZI WA MRADI WA SEQUIP KUFWATA KILICHO WALETA .

Posted on: June 22nd, 2022

Mhe Qeen Sendiga Ameyasema hayo leo juni 21 kwenye ufunguzi wa warsha ya kuwajengea uwezo wa wawezeshaji wa vituo vya mradi wa SEQUIP yenye jukumu la kuboresha ubora wa elimu kwa wanawake ambao tayari wamejifungua na wameamua kurujea  tena shuleni,


amezungumza hayo alipokuwa katika ukumbi wa Chuo cha Ualimu kreluu  kwenye warsha hiyo na kuwasisitiza katika mda mfupi wa mafunzo hayo wakufunzi wa mradi wa SEQUIP kuhakikisha wanafwata kilicho waleta ili waende kuwa wakufunzi bora katika majukumu yao ili wawe mabalozi wazuri.


Mhe Mkuu wa Mkoa Sendiga, aliongeza kwa kuwataka wakufunzi kutoa upendo kwa wanafunzi wao japo wanafunzi wao ni wazazi tayari na kutotumia lugha zisizofaa katika majukumu yao na kukamilisha majukumu yao kwa upendo.



Mratibu wa SEQUIP Taifa Baraka Kionywaki amemweleza Mhe Sendiga kuwa moja ya jukumu walonalo wao kama SEQUIP ni kutoa elimu ya sekondari kwa njia ya mbadala, hata hivyo alimweleza kuwa mpaka sasa wamepokea bilioni 3 kutoka serikalini ili kutekeleza mradi huo ikiwa na kujenga majengo kwenye Mikoa tofauti ikiwemo na Iringa wameshajenga madarasa 4 jengo la kulelea watoto na jengo la utawala katika eneo la Mawelewele.



Baraka amesema kuwa Ki Taifa wapo wanafunzi 3333 ambao tayari wamesha sajiliwa na Mkoa wa Iringa umesha sajili wanafunzi 189,   ambao kituo cha Saba Saba kuna wanafunzi 67 na 69 wako Chuo cha maendeleo ya jamii ipogoro, mafinga wapo  22  na Igowole wapo wanafunzi 30.


Hata hivyo mradi una walimu 802 Nchi nzima vituo vipo 131,  na  kati ya hivyo Mkoa wa Iringa una vituo 6.


Imetolewa na Afisa habari Mkoa.

Matangazo

  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI KIDATO CHA KWANZA - 2023 December 17, 2022
  • MAADHIMISHO YA KARIBU KUSINI MWAKA 2022 September 19, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KONGAMANO LA FUNDI SMART LAFANYIKA LEO IRINGA .

    March 17, 2023
  • Mkuu wa mkoa wa Iringa Mhe. Halima O. Dendego akifungua kikao cha kamati ya Ushauri ya Mkoa (RCC) kilichofanyika leo tarehe 25/03/2023 katika Ukumbi wa Siasa ni Kilimo uliopo katika Halmashauri ya Manispaa ya İringa

    March 14, 2023
  • TUNATAKA KUONA MAPINDUZI YA KIJANI KATIKA MKOA WA IRINGA: RC DENDEGO

    February 28, 2023
  • FANYENI KAZI KUWAHUDUMIA WANANCHI

    February 21, 2023
  • Tazama zote

Video

UZINDUZI WA ZAHANATI YA ITAGUTWA
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Iringa
  • PReM
  • Investment profile
  • Ajira za waalimu
  • Press release

Tovuti Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji Kidunia

world map hits counter

Jumla ya Watembeleaji

COUNTER-free

Ramani

Wasiliana Nasi

    Pawaga Road

    Anuani ya Posta: P.O.Box 858, Iringa

    Simu: +255 262 702 715

    Mobile:

    Barua pepe: ras@iringa.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2021, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Iringa.