• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Iringa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahala
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Huduma ya Maji
      • Usimamizi wa Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Huduma za Kisheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Iringa
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Mufindi
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Kilolo
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
  • Halmashauri
    • Iringa MC
    • Mafinga Mji
    • Iringa DC
    • Kilolo DC
    • Mufindi DC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda na Biashara
    • Vivutio vya Kitalii
      • Fahari Yetu
      • CHOGELASAFARICAMP
      • Kitovu cha Utalii Nyanda za Juu Kusini
      • RUAHA HILLTOP
      • Hifadhi ya Taifa Ruaha
      • Udzungwa Mountains National Park
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Habari
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • News Later
    • Matukio

Mkuu wa Mkoa Mheshimiwa Ally Hapi asisitiza zijengwe barabara za uchumi ambazo ni za kimkakati katika Mkoa wa Iringa.

Posted on: December 17th, 2019


Ameyasema hayo katika kikao cha Bodi ya Barabara kilichofanyika tarehe 16/12/2019. Pia amesema zimetengwa kiasi cha Shilingi 18 bilioni kwa ajili ya ukarabati wa barabara za ndani ambapo TANROADS zimetengwa Shilingi 12 bilioni na TARURA zimetengwa Shilingi 6 bilioni. Umakini unahitajika katika utunzaji wa barabara, kwani vyombo vya Dola vimejipanga katika ulinzi na kukagua uharibufu wa barabara hizi.

Amesema barabara ni moja kati ya eneo muhimu sana katika kujenga uchumi. Sehemu nyingi za wakulima zinategemea mtandao wa barabara kwani baada ya msimu huu wananchi wanategemea kusafirisha bidhaa kwenda kwenye maghala ya kuhifadhia. Kupitia kikao hiki muhimu anatumaini mutaonesha maboresho kati ya TARURA na TANROADS.

Amesema pia, miradi mbalimbali inayotekelezwa katika Mkoa wa Iringa mfano barabara ya Mafinga – Mgololo, barabara ambayo ina uchumi mkubwa sana, uwanja wa ndege wa Nduli ambapo utatanuliwa na kuwezesha safari za ndege kubwa kubwa, pia kuongeza misafara badala ya kwa wiki mara tatu na kuwa siku zote za wiki na ziweze kutua bila shida.

Ameongeza kuwa barabara ya Iringa – Ruaha (Mbuga ya Ruaha) nayo ipo katika hatua za mwisho za maridhiano na kufanya tathmini ya malipo ya fidia kwa wananchi n.k. Barabara ya Iringa – Kilolo nayo ipo katika hatua za mwisho za mazungumzo na tenda itatangazwa muda si mrefu.                 

Amemshuruku Mheshimiwa Rais John Pombe Magufuli kwa kuongeza zawadi katika Mkoa wa Iringa ni matumaini kuwa uchumi utaongezeka sana, hata ndege za mizigo zitaanza kutua Mkoani Iringa.

 Amehitimisha kwa kusema, nawaagiza Manispaa ya Iringa mji mzima uwe na taa za barabarani ili kuwe na usalama wakati wa usiku. Pia ziainishwe barabara zote.

mbovu zitengewe bajeti na zifanyiwe ukarabati, siyo vema kuwatoza wananchi pesa kwa ajili ya matengenezo ya barabara.

Imetolewa na Ofisi ya Habari Mkoa,

Humphrey Kisika. 

Matangazo

  • No records found
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC SERUKAMBA AMESHIRIKI NA MAMIA YA WAOMBOLEZAJI KWENYE MAZISHI YA MDOGO WAKE NA WAZIRI WA NCHI OFISI YA WAZIRI MKUU MHE WILLIAM LUKUVI

    June 07, 2025
  • WASHIRIKI 10,000 KUTIKISA MASHINDANO YA UMITASHUMTA NA UMISSETA 2025 MKOANI IRINGA

    June 06, 2025
  • MASHINDANO YA UMITASHUMTA NA UMISSETA KITAIFA YATAFANYIKA MKOA WA IRINGA

    June 02, 2025
  • KAMBI YA MADAKTARI BINGWA YA MAMA SAMIA YATUA IRINGA

    June 02, 2025
  • Tazama zote

Video

WASHIRIKI 10,000 KUTIKISA MASHINDANO YA UMITASHUMTA NA UMISSETA 2025 MKOANI IRINGA
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Iringa
  • PReM
  • Investment profile
  • Ajira za waalimu
  • Press release

Tovuti Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji Kidunia

world map hits counter

Jumla ya Watembeleaji

COUNTER-free

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 4 Barabara ya Pawaga

    Anuani ya Posta: P.O.Box 858, 51108 Gangilonga, Iringa, Tanzania

    Simu: +255 262 702 715

    Mobile:

    Barua pepe: ras@iringa.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2025, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Iringa.