• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Iringa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahala
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Huduma ya Maji
      • Usimamizi wa Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Huduma za Kisheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Iringa
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Mufindi
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Kilolo
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
  • Halmashauri
    • Iringa MC
    • Mafinga Mji
    • Iringa DC
    • Kilolo DC
    • Mufindi DC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda na Biashara
    • Vivutio vya Kitalii
      • Fahari Yetu
      • CHOGELASAFARICAMP
      • Kitovu cha Utalii Nyanda za Juu Kusini
      • RUAHA HILLTOP
      • Hifadhi ya Taifa Ruaha
      • Udzungwa Mountains National Park
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Habari
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • News Later
    • Matukio

Mazishi ya Mh. Balozi Dr. Augustine Mahiga kijijini kwao Tosamaganga Iringa

Posted on: May 2nd, 2020

Salamu za Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mheshimiwa Ally Hapi katika Mazishi ya Aliyekuwa Waziri wa Katiba na Sheria Mheshimiwa Balozi Dr. Augustine Philip Mahiga Yaliyofanyika Nyumbani Kwao Kijiji cha Tosamaganga Mei 02, 2020

Mheshimiwa Mahige amefariki Mei o1, 2020 baada ya kupata homa ya ghafla huko Dodoma.

Kabla ya kutoa salamu zake za pole Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mheshimiwa Ally Hapi alimkaribisha  Jaji wa Mahakama Kuu Tanzani Iringa Mheshimiwa Pentelini Kente kutoa salamu zake za pole. Akafuatia Dr. Tulia Ackson Mheshimiwa Naibu Spika wa Bunge la Tanzania naye kutoa salamu zake za pole na jinsi alivyoagizwa salamu kutoka kwa Mheshimiwa Job Ndugai Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Akitoa salamu za pole kwa ndugu, familia na wanairinga kwa ujumla, Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mheshimiwa Hapi alianza kwa kumshukuru Makamu wa Rais Mheshimiwa Samia Suluhu kwa kuja kuungana nasi katika msiba huu mzito na pia kwa kumuwakilisha Rais wa Tanzania Mheshimiwa John Pombe Magufuli.

Akiongea kwa masikitiko Mheshimiwa Hapi amesema, tumepata pigo kubwa sana. Sisi kama viongozi vijana tunajifunza kutoka kwake kuwa alikuwa mnyenyekevu, mcheshi na asiyependa makuu na alimsikiliza kila mtu na hakuweza kujikweza. Ukisikiliza wasifu wake kuna hana ya kutunga kitabu kwa ajili yake ili vijana tuweze kusoma na kujifunza kile alichokiishi kiongozi huyu. Natoa pole kwa familia na Iringa kwa ujumla kwa kumpoteza kiongozi mahiri mzee wetu.

Baada ya kutoa salamu hizo Mheshimiwa Hapi alimkaribisha Makamu wa Rais  Mama Samia Suluhu naye kutoa salamu zake za pole. Mama Suluhu amesema, nimesimama hapa kwa niaba ya Mheshimiwa Rais naye ameleta pole kwa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na Wizara pia kwa familia na Iringa. Tumeondokewa na mpendwa wetu Waziri mwenye uzoefu, kwani marehemu alikuwa anawakilisha Kitaifa na Kimataifa na kuimarisha ushirikiano, alimaliza kusema Mama Suluhu.

“Bwana Alitoa, Bwana Ametwaa, Jina la Bwana Lihimidiwe, Aamina! “ 

Imetolewa na:

Ofisi ya Habari Mkoa.

Matangazo

  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI KIDATO CHA KWANZA - 2023 December 17, 2022
  • MAADHIMISHO YA KARIBU KUSINI MWAKA 2022 September 19, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KONGAMANO LA FUNDI SMART LAFANYIKA LEO IRINGA .

    March 17, 2023
  • Mkuu wa mkoa wa Iringa Mhe. Halima O. Dendego akifungua kikao cha kamati ya Ushauri ya Mkoa (RCC) kilichofanyika leo tarehe 25/03/2023 katika Ukumbi wa Siasa ni Kilimo uliopo katika Halmashauri ya Manispaa ya İringa

    March 14, 2023
  • TUNATAKA KUONA MAPINDUZI YA KIJANI KATIKA MKOA WA IRINGA: RC DENDEGO

    February 28, 2023
  • FANYENI KAZI KUWAHUDUMIA WANANCHI

    February 21, 2023
  • Tazama zote

Video

UZINDUZI WA ZAHANATI YA ITAGUTWA
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Iringa
  • PReM
  • Investment profile
  • Ajira za waalimu
  • Press release

Tovuti Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji Kidunia

world map hits counter

Jumla ya Watembeleaji

COUNTER-free

Ramani

Wasiliana Nasi

    Pawaga Road

    Anuani ya Posta: P.O.Box 858, Iringa

    Simu: +255 262 702 715

    Mobile:

    Barua pepe: ras@iringa.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2021, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Iringa.