• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Iringa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahala
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Huduma ya Maji
      • Usimamizi wa Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Huduma za Kisheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Iringa
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Mufindi
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Kilolo
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
  • Halmashauri
    • Iringa MC
    • Mafinga Mji
    • Iringa DC
    • Kilolo DC
    • Mufindi DC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda na Biashara
    • Vivutio vya Kitalii
      • Fahari Yetu
      • CHOGELASAFARICAMP
      • Kitovu cha Utalii Nyanda za Juu Kusini
      • RUAHA HILLTOP
      • Hifadhi ya Taifa Ruaha
      • Udzungwa Mountains National Park
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Habari
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • News Later
    • Matukio

Iringa Yaridhishwa na Ushirikiano wa Wanahabari

Posted on: April 20th, 2018

IRINGA YARIDHISHWA NA USHIRIKIANO WA WANAHABARI

Na. Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Iringa

Serikali mkoani Iringa imeridhishwa na ushirikiano inaopata kutoka kwa wanahabari katika kufanikisha mipango ya maendeleo ya mkoa kwa wananchi wake.

Kauli hiyo ilitolewa na mkuu wa mkoa wa Iringa, Amina Masenza alipokuwa akiongea na waandishi wa habari kuhusu maandalizi ya sherehe za siku ya wafanyakazi kitaifa mkoani Iringa jana.

Masenza alisema kuwa waandishi wa habari wamekuwa wakitoa ushirikiano mkubwa kwa serikali ya mkoa katika kufanikisha mipango ya maendeleo. Alisema kuwa ushirikiano wa waandishi wa habari umekuwa chachu ya mafanikio katika utekelezaji wa shughuli za maendeleo katika mkoa wa Iringa.

Akiongelea maadhimisho ya siku ya wafanyakazi kitaifa kwa mkoa wa Iringa, Masenza alisema kuwa wakazi wa mkoa wa Iringa wanabahati. “Wanairinga tujihesabu kutambuliwa na kupewa heshima kubwa sana hivyo, tumejisikia vizuri kwa heshima hii tuliyopewa”. Aidha, aliwataka wananchi kutumia sherehe za Mei Mosi kama fursa ya kibiashara. Alisema kuwa watumie nafasi hiyo kuonesha ukarimu kwa wageni watakaotembelea mkoa huo kwa ajili ya kushiriki sherehe hizo.

Wakati huohuo, katibu mkuu wa TUCTA taifa, Dkt Yahya Msigwa aliupongeza mkoa wa Iringa kwa kukubali kuwa mwenyeji wa sherehe hizo. “Sisi kama TUCTA tumerithishwa na ushirikiano unaotolewa na uongozi wa mkoa katika kufanikisha sherehe za Mei Mosi” alisema Dkt Msigwa. Aliseongeza kuwa katika maadhimisho hayo, makongamano ya wafanyakazi yameandaliwa ili kujadili masuala ya kazi na changamoto zinazowakabili wafanya kazi. “Wafanyakazi wanapopewa elimu juu na masuala yanayohusu haki zao migogoro ya wafanyakazi imekuwa ikipungua na ufanisi wa kazi kuongezeka” alisema Dkt. Msigwa.

Maadhimisho ya siku ya wafanyakazi Mei Mosi mwaka 2018 yataongozwa na kaulimbiu isemayo uunganishaji wa mifumo ya hifadhi ya jamii ulenge kuboresha mafao ya mfanyakazi na yatahudhuriwa na Rais, Dkt. John Pombe Magufuli.

=30=



Matangazo

  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI KIDATO CHA KWANZA - 2023 December 17, 2022
  • MAADHIMISHO YA KARIBU KUSINI MWAKA 2022 September 19, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KONGAMANO LA FUNDI SMART LAFANYIKA LEO IRINGA .

    March 17, 2023
  • Mkuu wa mkoa wa Iringa Mhe. Halima O. Dendego akifungua kikao cha kamati ya Ushauri ya Mkoa (RCC) kilichofanyika leo tarehe 25/03/2023 katika Ukumbi wa Siasa ni Kilimo uliopo katika Halmashauri ya Manispaa ya İringa

    March 14, 2023
  • TUNATAKA KUONA MAPINDUZI YA KIJANI KATIKA MKOA WA IRINGA: RC DENDEGO

    February 28, 2023
  • FANYENI KAZI KUWAHUDUMIA WANANCHI

    February 21, 2023
  • Tazama zote

Video

UZINDUZI WA ZAHANATI YA ITAGUTWA
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Iringa
  • PReM
  • Investment profile
  • Ajira za waalimu
  • Press release

Tovuti Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji Kidunia

world map hits counter

Jumla ya Watembeleaji

COUNTER-free

Ramani

Wasiliana Nasi

    Pawaga Road

    Anuani ya Posta: P.O.Box 858, Iringa

    Simu: +255 262 702 715

    Mobile:

    Barua pepe: ras@iringa.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2021, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Iringa.