• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Iringa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahala
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Huduma ya Maji
      • Usimamizi wa Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Huduma za Kisheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Iringa
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Mufindi
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Kilolo
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
  • Halmashauri
    • Iringa MC
    • Mafinga Mji
    • Iringa DC
    • Kilolo DC
    • Mufindi DC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda na Biashara
    • Vivutio vya Kitalii
      • Fahari Yetu
      • CHOGELASAFARICAMP
      • Kitovu cha Utalii Nyanda za Juu Kusini
      • RUAHA HILLTOP
      • Hifadhi ya Taifa Ruaha
      • Udzungwa Mountains National Park
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Habari
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • News Later
    • Matukio

IRINGA YAJIVUNIA HIFADHI YA RUAHA

Posted on: February 11th, 2018

Na. Ofisi ya Mkuu wa Mkoa-Iringa

Mkoa wa Iringa unajivunia hifadhi kubwa ya taifa ya Ruaha yenye upekee unaovutia watalii wa ndani na nje ya nchi kuitembelea.

Kauli hiyo ilitolewa na mkuu wa Mkoa wa Iringa, Amina Masenza alipokuwa akisoma taarifa ya maendeleo ya Mkoa wa Iringa kwa Makamu wa Rais, mama Samia Suluhu Hassan jana katika rest house ya NSSF mjini Iringa.

Masenza alisema kuwa Mkoa wa Iringa una hifadhi za taifa mbili hifadhi ya Taifa Ruaha na hifadhi ya Taifa ya Udzungwa. Hifadhi ya Taifa ya Ruaha ina ukubwa wa Kilometa za mraba 20,226. “Asilimia 38 ya eneo la hifadhi ya Ruaha ambayo ni sawa na Kilometa za Mraba 777 zipo katika Mkoa wa Iringa. Hifadhi ya Ruaha ni kubwa kuliko hifadhi zote za Tanzania na ya pili kwa ukubwa barani Afrika baada ya ile ya Kafue iliyopo nchini Zambia” alisema Masenza. Aliongeza kuwa upekee wa hifadhi hiyo ni uwepo wa mwingiliano wa bioanuwai za kusini na kaskazini mwa Tanzania.

Akiongelea hifadhi ya Taifa ya milima ya Udzungwa yenye ukubwa wa Kilometa za mraba 1,990 ambapo asilimia 80 sawa na Kilometa za mraba 1,596.8 za eneo lote la hifadhi ya Milima Udzungwa ipo katika Mkoa wa Iring alisema kuwa hifadhi hiyo ni hifadhi pekee iliyopo katika milima ya tao la mashariki. “Hifadhi hii ina hazina ya aina nyingi za mimea, ndege, vyura wa Kihansi na wanyamapori ambao hawapatikani katika sehemu nyingine yoyote duniani. Baadhi ya viumbe hao ni mbega mwekundu wa Iringa (Iringa red colobus monkey) na Sanje Crested mangabey” alisema Masenza.

=30=

Matangazo

  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI KIDATO CHA KWANZA - 2023 December 17, 2022
  • MAADHIMISHO YA KARIBU KUSINI MWAKA 2022 September 19, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KONGAMANO LA FUNDI SMART LAFANYIKA LEO IRINGA .

    March 17, 2023
  • Mkuu wa mkoa wa Iringa Mhe. Halima O. Dendego akifungua kikao cha kamati ya Ushauri ya Mkoa (RCC) kilichofanyika leo tarehe 25/03/2023 katika Ukumbi wa Siasa ni Kilimo uliopo katika Halmashauri ya Manispaa ya İringa

    March 14, 2023
  • TUNATAKA KUONA MAPINDUZI YA KIJANI KATIKA MKOA WA IRINGA: RC DENDEGO

    February 28, 2023
  • FANYENI KAZI KUWAHUDUMIA WANANCHI

    February 21, 2023
  • Tazama zote

Video

UZINDUZI WA ZAHANATI YA ITAGUTWA
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Iringa
  • PReM
  • Investment profile
  • Ajira za waalimu
  • Press release

Tovuti Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji Kidunia

world map hits counter

Jumla ya Watembeleaji

COUNTER-free

Ramani

Wasiliana Nasi

    Pawaga Road

    Anuani ya Posta: P.O.Box 858, Iringa

    Simu: +255 262 702 715

    Mobile:

    Barua pepe: ras@iringa.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2021, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Iringa.