• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Iringa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahala
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Huduma ya Maji
      • Usimamizi wa Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Huduma za Kisheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Iringa
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Mufindi
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Kilolo
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
  • Halmashauri
    • Iringa MC
    • Mafinga Mji
    • Iringa DC
    • Kilolo DC
    • Mufindi DC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda na Biashara
    • Vivutio vya Kitalii
      • Fahari Yetu
      • CHOGELASAFARICAMP
      • Kitovu cha Utalii Nyanda za Juu Kusini
      • RUAHA HILLTOP
      • Hifadhi ya Taifa Ruaha
      • Udzungwa Mountains National Park
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Habari
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • News Later
    • Matukio

IRINGA KUZINDUA KAMPENI YA FURAHA YANGU

Posted on: July 20th, 2018

Na. Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Iringa

Mkoa wa Iringa umejipanga vizuri kuwahudumia wananchi wote watakaojitokeza katika uzinduzi wa kampeni ya furaha yangu itakayozinduliwa tarehe 24 mjini Iringa.

Kauli hiyo ilitolewa na mkuu wa mkoa wa iringa, amina masenza alipokuwa akiongea na waandishi wa habari wa mkoa wa iringa kuhusu maandalizi ya uzinduzi wa kampeni ya furaha yangu ofisini kwake leo.

Masenza alisema kampeni hiyo inatarajia kuvuta watu wengi kujitokeza kupima. “Kwa kuwa kampeni hii, itavuta Watu wengi, Mkoa umejipanga tayari kuhakikisha vitendanishi na dawa za ARV zipo za kutosha katika kila kituo kinachotoa huduma hiyo, ili kuweza kuwahudumia vizuri na kuwaanzishia dawa watakaogundulika kuwa na maambukizi ya VVU na UKIMWI”. Watoa huduma watakuwepo wa kutosha kuwahudumia wananchi watakaojitokeza katika uzinduzi wa kampeni hiyo, aliongeza.

Ili tuweze kufanikisha suala hili na ukizingatia ukweli kwamba tuna asilimia kubwa za maambukizi ya VVU.

Mkuu wa mkoa alisema kuwa takwimu zinaonesha kuwa Mkoa wa Iringa una asilimia 11.3 ya maambukizi ya virus vya UKIMWI. “Hivyo, ninatoa wito kwenu waandishi wa habari, kuibeba kampeni hii ya Furaha Yangu, ili iweze kufanikiwa kama ilivyokusudiwa. Ni imani yangu kuwa vyombo vya habari vikibeba kampeni hii kama Agenda muhimu itasaidia katika uhamasishaji wanaume, makundi mengine na jamii kwa ujumla kuweza kujitokeza kupima VVU na watakaogundulika kuanza kutumia dawa za kufubaza VVU mapema” alisema masenza. Wataalam wa Ofisi yangu na wadau mbalimbali wa mapambano ya VVU na UKIMWI wapo tayari kuwapa ushirikiano mtakaouhitaji katika kuandaa na kutengeneza vipindi mbalimbali vitakavyohusiana na Kampeni hii, aliongeza.

Alisema kuwa katika uwanja wa uzinduzi Mwembetogwa, kutakuwa na huduma za ushauri nasaha na upimaji, uchangiaji wa Damu, huduma mkoba za tiba na matunzo, elimu ya tohara kinga kwa wanaume, uzazi wa mpango, kifua kikuu, elimu ya lishe, huduma za bima ya Afya.

Ikumbukwe kuwa uzinduzi wa kampeni ya Furaha yangu kitaifa ya kupima na kuanza kutumia dawa za kufubaza makali ya VVU mapema ulifanywa na waziri mkuu, Kassim Majaliwa tarehe 19, Juni, 2018 mkoani Dodoma. Ikiongozwa na kaulimbiu “Furaha Yangu” – Pima, Jitambue, Ishi.

=30=



Matangazo

  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI KIDATO CHA KWANZA - 2023 December 17, 2022
  • MAADHIMISHO YA KARIBU KUSINI MWAKA 2022 September 19, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KONGAMANO LA FUNDI SMART LAFANYIKA LEO IRINGA .

    March 17, 2023
  • Mkuu wa mkoa wa Iringa Mhe. Halima O. Dendego akifungua kikao cha kamati ya Ushauri ya Mkoa (RCC) kilichofanyika leo tarehe 25/03/2023 katika Ukumbi wa Siasa ni Kilimo uliopo katika Halmashauri ya Manispaa ya İringa

    March 14, 2023
  • TUNATAKA KUONA MAPINDUZI YA KIJANI KATIKA MKOA WA IRINGA: RC DENDEGO

    February 28, 2023
  • FANYENI KAZI KUWAHUDUMIA WANANCHI

    February 21, 2023
  • Tazama zote

Video

UZINDUZI WA ZAHANATI YA ITAGUTWA
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Iringa
  • PReM
  • Investment profile
  • Ajira za waalimu
  • Press release

Tovuti Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji Kidunia

world map hits counter

Jumla ya Watembeleaji

COUNTER-free

Ramani

Wasiliana Nasi

    Pawaga Road

    Anuani ya Posta: P.O.Box 858, Iringa

    Simu: +255 262 702 715

    Mobile:

    Barua pepe: ras@iringa.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2021, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Iringa.