• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Iringa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahala
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Huduma ya Maji
      • Usimamizi wa Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Huduma za Kisheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Iringa
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Mufindi
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Kilolo
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
  • Halmashauri
    • Iringa MC
    • Mafinga Mji
    • Iringa DC
    • Kilolo DC
    • Mufindi DC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda na Biashara
    • Vivutio vya Kitalii
      • Fahari Yetu
      • CHOGELASAFARICAMP
      • Kitovu cha Utalii Nyanda za Juu Kusini
      • RUAHA HILLTOP
      • Hifadhi ya Taifa Ruaha
      • Udzungwa Mountains National Park
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Habari
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • News Later
    • Matukio

Video

  • WANANCHI WATAKIWA KUTUMIA FURSA YA UWEPO WA MAONYESHO YA KARIBU KUSINI 2023

    September 22nd, 2023


    Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mhe. Halima Dendego Amewataka Wananchi wote Kutumia Fursa ya Maonyesho ya Utalii Karibu Kusini Yatakayofanyika Katika Viwanja vya Kihesa Kilolo Kuanzia Tarehe 23 hadi 27/09/2023.

    Ameyasema hayo leo wakati akizungumza na waandishi wa habari Ofisini kwake ambapo amesema kuwa lengo la maonyesho hayo ni pamoja na kuiishi kampeni ya The Royal Tour ilioanzishwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Pamoja na kutangaza fursa za utalii na uwekezaji zilizopo kusini mwa Tanzania.

    Mikoa Kumi ya Kusini mwa Tanzania Inataraji Kushiriki Maonyesho Hayo yenye Hadhi ya Kimataifa


    Imetolewa na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Iringa


  • MAONESHO YA KIMATAIFA YA UTALII KARIBU KUSINI 2023

    September 22nd, 2023
  • MKUU WA MKOA WA IRINGA MHE. HALIMA O. DENDEGO AMETOA UFAFANUZI WA MIUNDOMBINU YA WAMACHINGA

    June 16th, 2023

    Mkuu wa mkoa wa Iringa Mhe. Halima O. Dendego ametolea ufafanuzi taarifa zilizoenea kwenye mitandao ya kijaamii zilizojaa upotoshaji juu ya sekali ngazi ya Mkoa na wilaya kutoa maelekezo kwa watendaji kuvunja na kuharibu miundombinu ya wafanyabiashara.Mhe.Dendego ameyasema hayo wakati alipokuwa akizungumza na vyombo vya Habari ambapo amesema kuwa Serikali ya Wilaya na Mkoa haihusika na zoezi hilo lililoendeshwa kwa kutokufuata maelekezo rasmi yaliyotolewa na viongozi kwa lengo la kutengeneza mazingira rafiki kwa ajili  ya wafanyabiashara.Pia Dendego amesema watu wote waliohusika kutoa maelekezo ya kufanya uharibifu huo na kuleta taharuki kwa wafanyabiashara watachukuliwa hatua kali za kisheria na kinidhamu.Sambamba na hayo Mkuu wa Mkoa amewataka watumishi kufanya kazi kwa kushirikishana ili kuleta tija na kuongeza ufanisi katika kuwatumikia wananchi.Imetolewa na Afisa habari Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • Next →

Matangazo

  • MAADHIMISHO YA UTALII KARIBU KUSINI 2023 May 01, 2023
  • MAADHIMISHO YA KARIBU KUSINI MWAKA 2022 September 19, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • SERIKALI YAJIPANGA KUPUNGUZA VIFO VITOKANAVYO NA UZAZI NA WATOTO WACHANGA

    September 14, 2023
  • MAKAMU WA RAIS AWATAKA WANANCHI KUACHANA NA MAFUNDISHO POTOFU

    September 10, 2023
  • MAONESHO YA KIMATAIFA UTALII KARIBU KUSINI 2023

    September 07, 2023
  • PONGEZI

    August 25, 2023
  • Tazama zote

Video

WANANCHI WATAKIWA KUTUMIA FURSA YA UWEPO WA MAONYESHO YA KARIBU KUSINI 2023
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Iringa
  • PReM
  • Investment profile
  • Ajira za waalimu
  • Press release

Tovuti Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji Kidunia

world map hits counter

Jumla ya Watembeleaji

COUNTER-free

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 4 Barabara ya Pawaga

    Anuani ya Posta: P.O.Box 858, 51108 Gangilonga, Iringa, Tanzania

    Simu: +255 262 702 715

    Mobile:

    Barua pepe: ras@iringa.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2023, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Iringa.