• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Iringa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahala
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Huduma ya Maji
      • Usimamizi wa Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Huduma za Kisheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Iringa
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Mufindi
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Kilolo
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
  • Halmashauri
    • Iringa MC
    • Mafinga Mji
    • Iringa DC
    • Kilolo DC
    • Mufindi DC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda na Biashara
    • Vivutio vya Kitalii
      • Fahari Yetu
      • CHOGELASAFARICAMP
      • Kitovu cha Utalii Nyanda za Juu Kusini
      • RUAHA HILLTOP
      • Hifadhi ya Taifa Ruaha
      • Udzungwa Mountains National Park
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Habari
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • News Later
    • Matukio

UKAGUZI WA MIRADI KATIKA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

Posted on: October 22nd, 2024

Wanafunzi Mkoani Iringa waishukuru Serikali kwa kuwajengea mabweni yatakayo wasaidia na kuepusha adha ya kutembea umbali mrefu jambo ambalo linafanya kukosa baadhi ya vipindi darasani na muda wa kujisomea.

Hayo yamebainishwa leo October,22,2024 wakati wa Ziara ya ukaguzi wa Miradi iliyo ongozwa na Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mhe. Peter Serukamba katika Halmashauri ya Manispaa ya Iringa

Wakizungumza katika ziara hiyo baadhi ya wanafunzi wameishukuru serikali ya awamu ya sita kwa kuwaondolea adha ya wao kutembea umbali mrefu huku wakiahidi kuendelea kufanya vizuri katika masomo yao

"Kukota hapa mpaka huko nduli ni kilometa 4 lakini kutoka hapa mpka Nyumbani ni kilometa 8 kutoka hapa shule huwa tunatoka saa11 Nyumbani tunaweza kufika hata Saa 2 kwahiyo wanakosa hata muda wa kujisomea maana wakifika nyumbani wanakutana na kazi nyingi."

Akikagua miradi hiyo Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mhe. Peter Serukamba amesema kuwa jukumu la Serikali ni kuhakikisha miradi yote inaisha kwa wakati ifikapo Tarehe 30 Novemba.

Naye mstahiki Meya wa Manispaa ya Iringa Ibrahim Ngwada amesema kuwa jukumu la ujenzi wa mabweni hayo ni kuhakikisha kuwa wanafunzi wanapata elimu katika mazingira rafiki yatakayowafanya wao kupata Elimu bora na uwezo wa wanafunzi kielimu unapanda.

Muongoni mwa miradi aliyoikagua ni ujenzi wa bweni la shule ya sekondari Nduli ambapo ujenzi wake umegharimu zaidi ya Million 26.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC SERUKAMBA AMESHIRIKI NA MAMIA YA WAOMBOLEZAJI KWENYE MAZISHI YA MDOGO WAKE NA WAZIRI WA NCHI OFISI YA WAZIRI MKUU MHE WILLIAM LUKUVI

    June 07, 2025
  • WASHIRIKI 10,000 KUTIKISA MASHINDANO YA UMITASHUMTA NA UMISSETA 2025 MKOANI IRINGA

    June 06, 2025
  • MASHINDANO YA UMITASHUMTA NA UMISSETA KITAIFA YATAFANYIKA MKOA WA IRINGA

    June 02, 2025
  • KAMBI YA MADAKTARI BINGWA YA MAMA SAMIA YATUA IRINGA

    June 02, 2025
  • Tazama zote

Video

WASHIRIKI 10,000 KUTIKISA MASHINDANO YA UMITASHUMTA NA UMISSETA 2025 MKOANI IRINGA
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Iringa
  • PReM
  • Investment profile
  • Ajira za waalimu
  • Press release

Tovuti Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji Kidunia

world map hits counter

Jumla ya Watembeleaji

COUNTER-free

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 4 Barabara ya Pawaga

    Anuani ya Posta: P.O.Box 858, 51108 Gangilonga, Iringa, Tanzania

    Simu: +255 262 702 715

    Mobile:

    Barua pepe: ras@iringa.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2025, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Iringa.