• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Iringa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahala
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Huduma ya Maji
      • Usimamizi wa Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Huduma za Kisheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Iringa
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Mufindi
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Kilolo
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
  • Halmashauri
    • Iringa MC
    • Mafinga Mji
    • Iringa DC
    • Kilolo DC
    • Mufindi DC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda na Biashara
    • Vivutio vya Kitalii
      • Fahari Yetu
      • CHOGELASAFARICAMP
      • Kitovu cha Utalii Nyanda za Juu Kusini
      • RUAHA HILLTOP
      • Hifadhi ya Taifa Ruaha
      • Udzungwa Mountains National Park
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Habari
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • News Later
    • Matukio

Afisa Maendeleo ya Jamii katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Saida Mgeni.

Posted on: November 24th, 2017

TANZANIA MSTARI WA MBELE KUPINGA UBAGUZI KWA WATOTO NA WANAWAKE

Na. Ofisi ya Mkuu wa Mkoa-IRINGA

Tanzania ipo mstari wa mbele katika kuheshimu haki na utu wa mwanamke kwa kutekeleza mkataba wa umoja wa mataifa wa kupinga aina zote za ubaguzi dhidi ya watoto na wanawake.

Kauli hiyo ilitolewa na Katibu Tawala Mkoa wa Iringa, Wamoja Ayubu katika maelezo yake wakati wa uzinduzi wa kampeni ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia uliyofanyika ngazi ya mkoa katika halmashauri ya Wilaya ya Kilolo na kusomwa na Afisa maendeleo ya jamii katika Ofisi ya mkuu wa mkoa, Saida Mgeni.

Katibu Tawala Mkoa alisema kuwa nchi ya Tanzania ipo mstari wa mbele katika kuheshimu haki na utu wa mwanamke kwa kutekeleza mkataba wa umoja wa mataifa wa kupinga aina zote za ubaguzi dhidi ya wanawake na watoto ambao Tanzania imeusaini na kuuridhia. Serikali kwa kushirikiana na wanasiasa, viongozi wa dini, mashirika ya hiyari na watu binafsi wamekuwa wakitumia kampeni hii kuhamasisha jamii kwa lengo la kutokomeza vitendo vya ukatili wa kijinsia dhidi ya wanawake na watoto. Alisema kuwa maadhimisho haya yalenge kutafakari mafanikio na changamoto zinazoikabili jamii na kuandaa mkakati wa kukabiliana na vitendo vya ukatili wa kijinsia.

Katibu Tawala Mkoa alisema kuwa kwa kipindi cha miaka miwili kuanzia Januari 2016-septemba, 2017, wanawake 904 wamefanyiwa ukatili wa aina moja au nyingine. Aliongeza kuwa ukatili wa kijinsia unachangia maongezeko ya maambukizi ya virusi vya ukimwi. “Mkoa wa Iringa ni miongoni mwa mikoa yenye kiwngo kikubwa cha mambukizi ya vvu. Watu wenye umri wa miaka 15-49 ambao ni asilimia 9.1 na maambukizi ya wanawake ni asilimia 10.2 ikilinganishwa na asilimia 6.9 ya wanaume. Kitaifa ni asilimia 5.1 ambapo wanawake ni asilimia 6.3 na wanaume asilimia 3.5” alisisitiza Katibu Tawala Mkoa.

Kampeni ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia ilizinduliwa ngazi ya Mkoa, katika Kijiji cha Lyasa, Kata ya Image Wilaya ya Kilolo chini ya kaulimbiu ya isemayo ‘funguka! Ukatili dhidi ya wanawake na watoto haumuachi mtu salama chukua hatua’.    

=30=









Matangazo

  • No records found
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC SERUKAMBA AMESHIRIKI NA MAMIA YA WAOMBOLEZAJI KWENYE MAZISHI YA MDOGO WAKE NA WAZIRI WA NCHI OFISI YA WAZIRI MKUU MHE WILLIAM LUKUVI

    June 07, 2025
  • WASHIRIKI 10,000 KUTIKISA MASHINDANO YA UMITASHUMTA NA UMISSETA 2025 MKOANI IRINGA

    June 06, 2025
  • MASHINDANO YA UMITASHUMTA NA UMISSETA KITAIFA YATAFANYIKA MKOA WA IRINGA

    June 02, 2025
  • KAMBI YA MADAKTARI BINGWA YA MAMA SAMIA YATUA IRINGA

    June 02, 2025
  • Tazama zote

Video

WASHIRIKI 10,000 KUTIKISA MASHINDANO YA UMITASHUMTA NA UMISSETA 2025 MKOANI IRINGA
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Iringa
  • PReM
  • Investment profile
  • Ajira za waalimu
  • Press release

Tovuti Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji Kidunia

world map hits counter

Jumla ya Watembeleaji

COUNTER-free

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 4 Barabara ya Pawaga

    Anuani ya Posta: P.O.Box 858, 51108 Gangilonga, Iringa, Tanzania

    Simu: +255 262 702 715

    Mobile:

    Barua pepe: ras@iringa.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2025, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Iringa.