• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Iringa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahala
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Huduma ya Maji
      • Usimamizi wa Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Huduma za Kisheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Iringa
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Mufindi
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Kilolo
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
  • Halmashauri
    • Iringa MC
    • Mafinga Mji
    • Iringa DC
    • Kilolo DC
    • Mufindi DC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda na Biashara
    • Vivutio vya Kitalii
      • Fahari Yetu
      • CHOGELASAFARICAMP
      • Kitovu cha Utalii Nyanda za Juu Kusini
      • RUAHA HILLTOP
      • Hifadhi ya Taifa Ruaha
      • Udzungwa Mountains National Park
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Habari
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • News Later
    • Matukio

TAMISEMI YATOA VIFAA VYA TEHEMA KUBORESHA TAKWIMU IRINGA

Posted on: July 10th, 2018

Na. Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Iringa

Serikali inahitaji takwimu sahihi ili kuweza kupanga mipango ya maendeleo kwa ustawi wa wananchi wake.

Kauli hiyo ilitolewa na mkuu wa Mkoa wa Iringa, Amina Masenza alipokuwa akipokea vifaa vya TEHAMA na samani kutoka Ofisi ya Rais, TAMISEMI kwa kushirikiana na Wizara ya elimu, sayansi na teknolojia katika viunga vya Ofisi ya mkuu wa Mkoa jana.

Masenza alisema kuwa takwimu sahihi ni muhimu katika kuiwezesha serikali kupanga mipango katika ustawi wa jamii. “Takwimu sahihi ni muhimu sana katika kuiwezesha serikali kuweka mipango mbalimbali kwa ajili ya ustawi wa jamii katika huduma za elimu, afya, maji na mgawanyo wa maliasili tulizonazo kwa uwiano unaotakiwa. Kiujumla takwimu sahihi ni kila kitu katika kupanga maendeleo ya watu na shughuli zao” alisema Masenza.

“Ndugu waandishi wa habari, nimewaita hapa kushuhudia kupokea vifaa vya TEHAMA na samani. Ofisi ya Rais-TAMISEMI kwa kushirikiana na wizara ya elimu, sayansi na teknolojia imenunua vifaa vya TEHAMA (seti ya komputa, printa na UPS, viti na meza) kwa ajili ya kuboresha zoezi la uandaaji na uingizaji wa takwimu za elimu msingi” alisema Masenza. Takwimu hizo zitaingizwa kupitia mfumo wa ‘basic education management information system’-BEMIS.

Vifaa hivyo vitafungwa katikamofisi za maafisa elimu vifaa na takwimu kwa halmashauri zote nchini na maafisa elimu taaluma kwa ngazi za mikoa. Aidha, mkoa na halmashauri zimepatiwa komputa tatu, printa moja na UPS tatu pamoja na meza tatu na viti vitatu.

Ikumbukwe kuwa vifaa hivyo ni sehemu ya utekelezaji wa mradi wa GPE-LANES.

=30=

Matangazo

  • No records found
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • ‎RC SERUKAMBA AITAKA TRA KUDHIBITI RISITI FEKI, KUHAMASISHA ELIMU YA KODI

    May 19, 2025
  • TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM MKOA WA IRINGA.

    May 18, 2025
  • UKAGUZI WA MIRADI HALMASHAURI YA WILAYA YA MUFINDI

    May 08, 2025
  • RC SERUKAMBA AHIMIZA UWAJIBIKAJI KWA VIONGOZI NA WATUMISHI

    May 07, 2025
  • Tazama zote

Video

RC SERUKAMBA: WANANCHI PAWAGA FANYENI KAZI KWA BIDII.
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Iringa
  • PReM
  • Investment profile
  • Ajira za waalimu
  • Press release

Tovuti Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji Kidunia

world map hits counter

Jumla ya Watembeleaji

COUNTER-free

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 4 Barabara ya Pawaga

    Anuani ya Posta: P.O.Box 858, 51108 Gangilonga, Iringa, Tanzania

    Simu: +255 262 702 715

    Mobile:

    Barua pepe: ras@iringa.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2025, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Iringa.