• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Iringa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahala
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Huduma ya Maji
      • Usimamizi wa Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Huduma za Kisheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Iringa
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Mufindi
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Kilolo
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
  • Halmashauri
    • Iringa MC
    • Mafinga Mji
    • Iringa DC
    • Kilolo DC
    • Mufindi DC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda na Biashara
    • Vivutio vya Kitalii
      • Fahari Yetu
      • CHOGELASAFARICAMP
      • Kitovu cha Utalii Nyanda za Juu Kusini
      • RUAHA HILLTOP
      • Hifadhi ya Taifa Ruaha
      • Udzungwa Mountains National Park
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Habari
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • News Later
    • Matukio

Serikali Inaheshimu Wafanyakazi- Waziri Mhagama

Posted on: April 27th, 2018

Na. Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Iringa

Serikali inawaheshimu wafanyakazi kwa sababu ndiyo njia ya kuifikisha nchi katika uchumi wa viwanda.

Kauli hiyo ilitolewa na waziri wa nchi Ofisi nya Waziri mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na wenye ulemavu Jenista Mhagama alipofika kusaini kitabu cha wageni katika ofisi ya mkuu wa mkoa leo asubuhi.

Waziri Mhagama alisema kuwa serikali inawaheshimu wafanyakazi wa sekta zote nchini kutokana na nafasi yao katika ujenzi na ukuzaji wa uchumi. Alisema kuwa katika utekelezaji wa dhana ya Tanzania ya viwanda, wafanyakazi ni njia muhimu katika utekelezaji wa dhana ya Tanzania ya viwanda nchini. Alisema katika maadhimisho ya seherehe za Mei Mosi, limeandaliwa kongamano la Tanzania ya viwanda kwa lengo la kufafanua dhamira ya serikali kuelekea uchumi wa viwanda.

Aidha, alimpongeza mkuu wa mkoa wa Iringa, Amina Masenza kwa kukubali kubeba jukumu la kuwa mwenyeji wa sherehe za Mei Mosi kitaifa mwaka huu. Alielezea imani yake kwa uongozi wa mkoa katika kufanikisha sherehe hizo mkoani hapa.

Mkuu wa mkoa wa Iringa, alisema kuwa wananchi wa Iringa wapo tayari kuwapokea wageni na kusherehekea pamoja nao. Alisema kuwa maandalizi yanaenda vizuri yakitanguliwa na michezo mbalimbali na makongamano.

Sherehe za Mei Mosi kitaifa mwaka 2018 zitafanyika mkoani Iringa na mgeni rasmi atakuwa rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli.

=30=


Matangazo

  • No records found
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC SERUKAMBA AMESHIRIKI NA MAMIA YA WAOMBOLEZAJI KWENYE MAZISHI YA MDOGO WAKE NA WAZIRI WA NCHI OFISI YA WAZIRI MKUU MHE WILLIAM LUKUVI

    June 07, 2025
  • WASHIRIKI 10,000 KUTIKISA MASHINDANO YA UMITASHUMTA NA UMISSETA 2025 MKOANI IRINGA

    June 06, 2025
  • MASHINDANO YA UMITASHUMTA NA UMISSETA KITAIFA YATAFANYIKA MKOA WA IRINGA

    June 02, 2025
  • KAMBI YA MADAKTARI BINGWA YA MAMA SAMIA YATUA IRINGA

    June 02, 2025
  • Tazama zote

Video

WASHIRIKI 10,000 KUTIKISA MASHINDANO YA UMITASHUMTA NA UMISSETA 2025 MKOANI IRINGA
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Iringa
  • PReM
  • Investment profile
  • Ajira za waalimu
  • Press release

Tovuti Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji Kidunia

world map hits counter

Jumla ya Watembeleaji

COUNTER-free

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 4 Barabara ya Pawaga

    Anuani ya Posta: P.O.Box 858, 51108 Gangilonga, Iringa, Tanzania

    Simu: +255 262 702 715

    Mobile:

    Barua pepe: ras@iringa.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2025, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Iringa.