• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Iringa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahala
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Huduma ya Maji
      • Usimamizi wa Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Huduma za Kisheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Iringa
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Mufindi
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Kilolo
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
  • Halmashauri
    • Iringa MC
    • Mafinga Mji
    • Iringa DC
    • Kilolo DC
    • Mufindi DC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda na Biashara
    • Vivutio vya Kitalii
      • Fahari Yetu
      • CHOGELASAFARICAMP
      • Kitovu cha Utalii Nyanda za Juu Kusini
      • RUAHA HILLTOP
      • Hifadhi ya Taifa Ruaha
      • Udzungwa Mountains National Park
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Habari
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • News Later
    • Matukio

RC IRINGA - MHE. QUEEN AKABIDHIWA OFISI RASMI | ASEMA YUKO HAPA KUTEKELEZA ILANI YA CHAMA CHA MAPINDUZI

Posted on: May 24th, 2021

Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mhe. Queen Sendiga, amesema anatarajia kufanya kazi na wananchi wa Iringa ili kuendeleza mambo yote ya kiuchumi na kukaa na kamati zote pamoja na wafanyabiashara katika kuhakikisha maendeleo yanapatikana

Hayo ameyasema leo tarehe 24.05.2021 katika ukumbi wa Siasa na Kilimo akikabidhiwa rasmi Ofisi ya Mkoa na aliyekuwa Mkuu wa Mkoa Mhe. Ally Hapi ambaye kwa sasa ameteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Tabora

Pia Mhe. Queen ameahidi kusimamia haki na kushughurikia changamoto zote za wananchi wa Iringa ikiwa ni pamoja na kusimamia llani ya Chama Cha Mapinduzi ambayo amekabidhiwa na uongozi Wa Chama asubuhi ya Leo katika ofisi za Chama Cha Mapinduzi Mkoa

"Naahidi kufanya kazi na ilani ya chama ambayo nimekabidhiwa leo asubuhi na uongozi Wa chama ili kutekeleza yale yaliyoelekezwa ndani ya Ilani katika

kuleta maendeleo,"alisema Mhe. Queen

Hata hivyo alisema atasimamia na kuendeleza kaulimbiu ya 'Iringa Mpya' ambayo iliazishwa na kiongozi wa zamani huku akichanganya na yake inayosema uwajibikaji rafiki wa maendeleo

Naye, aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Zamani mkoani hapa, Ally Happy, amesema anaondoka Iringa huku akiwa bado anawapenda wananchi wa mkoa huo kutokana na uchapakazi wao , ushirikiano, pamoja na moyo wa kujitolea waliokuwa nao

Alisema yawezekana aliwakwanza baadhi ya watu kutokana na kusimamia haki katika utendaji wake hivyo Kama kunamtu alimkwanza katika majukumu yake amsamehe

"Naondoka nikiwa bado nawapenda kwa yeyote niliyomkwanza anisamehe nilijitoa kwaajiri ya wanaIringa ila ninaimani na huyu kiongozi nawahakikishie kwamba linaondoka jembe linakuja jembe,"alisema.

Aidha amesema katika uongozi wake alisimamia haki alitatua migogoro alitembelea kila Kijiji anasema yote hayo alifanya kwaajiri ya wanaIringa

Hivyo amewaomba wakazi wa Iringa wasimtenge kiongozi wao mpya wasirudi nyuma wala kumkatisha tamaa bali waoneshe ushirikiano katika ngazi zote

"Nikuahidi Kiongozi wakazi wa Iringa ni wachapakazi ,wanajituma ,wanamoyo wa kujitolea wanalima wanachangia miradi wakikupenda wamekupenda hawana moyo wa unafiki, alisema Happy

Omary Nzowa, ambaye ni mkuu wa baraza la wazee Mkoani hapo, alisema atamkumbuka kiongozi huyo kutokana na utendaji wake wa kazi lakini hana budi kumuaga na kumkalibisha kiongozi mpya na wateendelea kumuombea pamoja na kumpa ushirikiano


Matangazo

  • No records found
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC SERUKAMBA AMESHIRIKI NA MAMIA YA WAOMBOLEZAJI KWENYE MAZISHI YA MDOGO WAKE NA WAZIRI WA NCHI OFISI YA WAZIRI MKUU MHE WILLIAM LUKUVI

    June 07, 2025
  • WASHIRIKI 10,000 KUTIKISA MASHINDANO YA UMITASHUMTA NA UMISSETA 2025 MKOANI IRINGA

    June 06, 2025
  • MASHINDANO YA UMITASHUMTA NA UMISSETA KITAIFA YATAFANYIKA MKOA WA IRINGA

    June 02, 2025
  • KAMBI YA MADAKTARI BINGWA YA MAMA SAMIA YATUA IRINGA

    June 02, 2025
  • Tazama zote

Video

WASHIRIKI 10,000 KUTIKISA MASHINDANO YA UMITASHUMTA NA UMISSETA 2025 MKOANI IRINGA
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Iringa
  • PReM
  • Investment profile
  • Ajira za waalimu
  • Press release

Tovuti Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji Kidunia

world map hits counter

Jumla ya Watembeleaji

COUNTER-free

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 4 Barabara ya Pawaga

    Anuani ya Posta: P.O.Box 858, 51108 Gangilonga, Iringa, Tanzania

    Simu: +255 262 702 715

    Mobile:

    Barua pepe: ras@iringa.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2025, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Iringa.