• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Iringa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahala
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Huduma ya Maji
      • Usimamizi wa Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Huduma za Kisheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Iringa
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Mufindi
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Kilolo
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
  • Halmashauri
    • Iringa MC
    • Mafinga Mji
    • Iringa DC
    • Kilolo DC
    • Mufindi DC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda na Biashara
    • Vivutio vya Kitalii
      • Fahari Yetu
      • CHOGELASAFARICAMP
      • Kitovu cha Utalii Nyanda za Juu Kusini
      • RUAHA HILLTOP
      • Hifadhi ya Taifa Ruaha
      • Udzungwa Mountains National Park
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Habari
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • News Later
    • Matukio

MUFINDI DC YATEKELEZA MAAGIZO YA SERIKALI KUU

Posted on: May 23rd, 2018

Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi inatekeleza agizo la serikali ya kuanzisha viwanda nchini ili kujenga Tanzania ya viwanda ifikapo mwaka 2025.

Kauli hiyo ilitolewa na Katibu Tawala Wilaya ya Mufinsi, Allan Benard alipokuwa akisoma risala ya utii ya wananchi wa halmashauri ya Wilaya ya Mufindi kwa Rais Dkt John Magufuli katika uwanja wa mkesha wa Mwenge wa uhuru katika Kata ya Igowole wilayani Mufindi.

Benard alisema kuwa halmashauri ya Wilaya ya Mufindi inatekeleza maagizo ya serikali katika sekta mbalimbali. “Kabla ya kampeni ya Kiwanda changu Wilaya yangu, halmashauri ilikuwa na jumla ya viwanda 29, vikubwa saba, vya kati vitatu na vidogo 19. Baada ya kampeni hii, viwanda vidogo 11 vimeongezeka na kufanya jumla ya viwanda kuwa 40, ambavyo vinatoa ajira kwa watu 3,788.

Akiongelea utoaji wa chanjo ya saratani ya shingo ya kizazi kwa wasichana, alisema kuwa halmashauri inaendelea na utekelezaji wa chanjo hiyo. Alisema kuwa kamati ya afya ya wilaya na watoa huduma za afya 63 na walimu 192 walipatiwa mafunzo. “Zoezi la utoaji chanjo linaendelea ambapo mpaka sasa jumla ya wasichana 402 (98) kati ya walengwa 442 kwa mwezi wamechanjwa ambapo walengwa 5,308 wanatarajiwa kufikiwa kwa mwaka” alisema Benard.

Mwenge wa uhuru katika halmashauri ya Wilaya ya Mufindi umepitia miradi sita yenye thamani ya shilingi 9,199,229,136. Miradi hiyo ni kuweka jiwe la msingi ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa sekondari ya Igombavanu, kukagua msitu wa kupandwa wa halmashauri na kuzindua ujenzi wa zahanati ya Kijiji cha mtili. Miradi mingine ni kuzindua ujenzi wa barabara ya lami Kitiru-Itulituli Km 14.977, mradi wa kilimo na mifugo wa wananchi na klabu ya wapinga rushwa sekondari ya Igombavanu.  

=30=



Matangazo

  • No records found
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MKOA WA IRINGA WAZINDUA MPANGO WA USAFI WA MAZINGIRA ENDELEVU

    September 26, 2025
  • KIKAO CHA LISHE CHAONYESHA MAFANIKIO MKOANI IRINGA

    September 11, 2025
  • Dkt. MGIMBA AONGOZA TIMU KUKAGUA MIUNDOMBINU YA AFYA IRINGA

    August 21, 2025
  • DKT. SAMIA AIBADILISHA IRINGA KWA Bil. 7.5 ZA ELIMU

    August 05, 2025
  • Tazama zote

Video

MAENDELEO KWA SASA BILA MAWASILIANO HAYAWEZEKANI- RC KHERI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Iringa
  • PReM
  • Investment profile
  • Ajira za waalimu
  • Press release

Tovuti Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji Kidunia

world map hits counter

Jumla ya Watembeleaji

COUNTER-free

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 4 Barabara ya Pawaga

    Anuani ya Posta: P.O.Box 858, 51108 Gangilonga, Iringa, Tanzania

    Simu: +255 262 702 715

    Mobile:

    Barua pepe: ras@iringa.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2025, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Iringa.

  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AERO88
  • Situs Slot Gacor
  • DORA77
  • DORA77
  • DORA77
  • Toto Togel
  • Situs Toto
  • AXL777
  • AERO88
  • Toto Slot
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Slot Gacor
  • Toto Slot
  • Toto Slot
  • KOI200
  • Toto Slot
  • Situs Toto
  • KOI200
  • DORA77
  • DORA77
  • Slot Gacor
  • DORA77
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto
  • Toto 4D
  • Toto 4D
  • Slot Gacor
  • Toto 4D
  • AXL777
  • Situs Toto
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • yamitoto
  • situs toto
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • AXL777
  • Situs Toto
  • toto slot
  • Toto Slot Gacor
  • AERO88 Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • Slot Gacor
  • AERO88
  • Situs Toto
  • situs toto
  • slot gacor
  • situs toto
  • yamitoto
  • kudetabet98
  • kudetabet98
  • yamitoto
  • dora77
  • koi200