• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Iringa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahala
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Huduma ya Maji
      • Usimamizi wa Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Huduma za Kisheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Iringa
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Mufindi
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Kilolo
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
  • Halmashauri
    • Iringa MC
    • Mafinga Mji
    • Iringa DC
    • Kilolo DC
    • Mufindi DC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda na Biashara
    • Vivutio vya Kitalii
      • Fahari Yetu
      • CHOGELASAFARICAMP
      • Kitovu cha Utalii Nyanda za Juu Kusini
      • RUAHA HILLTOP
      • Hifadhi ya Taifa Ruaha
      • Udzungwa Mountains National Park
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Habari
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • News Later
    • Matukio

KAMATI YA FURAHA YANGU YATAKIWA KUWAFIKIA WANANCHI WENGI IRINGA

Posted on: July 18th, 2018

Na. Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, IRINGA

Kamati ya maandalizi ya kampeni ya Furaha yangu Mkoa wa Iringa imetakiwa kuweka mikakati kwa ajili ya kufanikisha kampeni hiyo kwa kuwafikia wananchi wengi zaidi.

Kauli hiyo ilitolewa na mwenyekiti wa kamati kuu ya maandalizi ya kampeni ya Furaha yangu mkoa wa Iringa, Dkt. Robert Salim alipokuwa akifungua kikao hicho katika ukumbi wa mikutano wa ofisi ya mkuu wa mkoa wa Iringa leo.

Dkt. Salim ambaye pia ni mganga mkuu wa Mkoa wa Iringa alisema kuwa dhamira ya mkuu wa Mkoa ni kuona kampeni hiyo inafanikiwa katika Mkoa wa Iringa. Alisema kuwa mafanikio hayo yatatokana na ushirikiano baina ya serikali na wadau mbalimbali wa mapambano ya VVU na UKIMWI mkoani Iringa. Aliwataka wajumbe hao kuweka mikakatik itakayowezesha wananchi wengi kufikiwa na kampeni hiyo ya Furaha yangu.

Kampeni ya “Furaha Yangu” inaonesha dhamira ya Serikali ya awamu ya tano chini ya Rais, Dkt. John Magufuli kuongeza kasi ya mapambano ya VVU na UKIMWI katika kuzifikia “tisini tatu” na mwelekeo kuwa wa kufikia “sifuri tatu”; kutokuwepo kwa maambukizi mapya ya VVU, kutokuwepo kwa unyanyapaa kwa watu wanaoishi na VVU, na kutokuwepo na vifo vinavyotokana na UKIMWI ifikapo mwaka 2030.

Kampeni ya Furaha yangu mkoani Iringa itazinduliwa tarehe 24 Julai, 2018 katika uwanja wa Kichangani mjini Iringa na mkuu wa mkoa wa Iringa, mhe Amina Masenza.

=30=

Matangazo

  • No records found
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • ‎RC SERUKAMBA AITAKA TRA KUDHIBITI RISITI FEKI, KUHAMASISHA ELIMU YA KODI

    May 19, 2025
  • TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM MKOA WA IRINGA.

    May 18, 2025
  • UKAGUZI WA MIRADI HALMASHAURI YA WILAYA YA MUFINDI

    May 08, 2025
  • RC SERUKAMBA AHIMIZA UWAJIBIKAJI KWA VIONGOZI NA WATUMISHI

    May 07, 2025
  • Tazama zote

Video

RC SERUKAMBA: WANANCHI PAWAGA FANYENI KAZI KWA BIDII.
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Iringa
  • PReM
  • Investment profile
  • Ajira za waalimu
  • Press release

Tovuti Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji Kidunia

world map hits counter

Jumla ya Watembeleaji

COUNTER-free

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 4 Barabara ya Pawaga

    Anuani ya Posta: P.O.Box 858, 51108 Gangilonga, Iringa, Tanzania

    Simu: +255 262 702 715

    Mobile:

    Barua pepe: ras@iringa.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2025, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Iringa.