THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA - PRIME MINISTERS OFFICE
   
Search the site

 
 .: Home
 .: Organization structure
 .: About Us & Contact
 .: Mission & Vision
 .: Project & Programs
 .: Financial Report & Budget
 .: Documents
Taarifa za idara

 .: Kilimo na Mifugo

.: Maliasili

.: Elimu

.: Afya

.: Maji

.: Ushirika

.: Biashara

.: Barabara na Majengo

.: Ardhi, Upimaji na Ramani

.: Jamii, Jinsia & Watoto

Sekta ya Ushirika

Mkoa una jumla ya Vyama vya Ushirika 275, Vyama vya Mazao ni 121, Vyama vya Akiba na Mikopo 116, Vyama vya Ushirika wa Maduka ni 11, Vyama vya Viwanda ni 17, Chama cha Elimu 1, Vyama vya Mifugo 2, Ubia 1 na Vyama Vikuu ni 2.

Mafanikio ya Sekta ya Ushirika kuanzia Desemba 2005 hadi 2008

Na Maelezo Desemba 2005 Desemba 2008 Ongezeko %
1 Vyama vya ushirika 107 203 96 89
2 Idadi ya wanachama 10,317 29,005 18,688 181
3 Mtaji wa ndani 1,139,635,000 4,948,162,000 3,808,527,000 334
4 Mikopo iliyotolewa 760,912,000 3,367,942,000 2,607,030,000 342
5 Mikopo toka nje (Mabenk na Taasisi) 509,292,000 2,663,872 2,154,579,000 423

 

 

 

 

 

opyright © 2009 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Iringa, P.O.BOX 858, Iringa, TEL: 026 - 2702715, FAX: 026-2702082 / 2701888

[Go Home]