• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Iringa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahala
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Huduma ya Maji
      • Usimamizi wa Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Huduma za Kisheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Iringa
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Mufindi
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Kilolo
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
  • Halmashauri
    • Iringa MC
    • Mafinga Mji
    • Iringa DC
    • Kilolo DC
    • Mufindi DC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda na Biashara
    • Vivutio vya Kitalii
      • Fahari Yetu
      • CHOGELASAFARICAMP
      • UTALII IRINGA
      • RUAHA HILLTOP
      • Hifadhi ya Taifa Ruaha
      • Udzungwa Mountains National Park
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Habari
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • News Later
    • Matukio

RC HAPI AMWAGA VIFAA VYA MICHEZO SEC IFUNDA

Posted on: September 20th, 2018

Na. Dennis Gondwe, Afisa Habari Ofisi ya Mkuu wa Mkoa- IRINGA

Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mhe Ally Hapi ametoa vifaa vya michezo kwa shule ya sekondari ya ufundi Ifunda ili kuhamasisha michezo na nidhamu shuleni hapo.

Mhe Hapi alitoa ahadi ya kuinunulia vifaa vya michezo shule hiyo alipokuwa akiongea na jumuiya ya shule hiyo iliyokutanisha pamoja walimu, wanafunzi na wafanyakazi baada ya kufanya ziara ya kukagua ujenzi wa miundombinu ya shule hizo uliogharimu zaidi ya shilingi bilioni 3.

Mhe Hapi ambaye alikuwa kaka mkuu katika shule ya ufundi ya wavulana Bwiru katika kipindi chake aliwataka walimu na wanafunzi wa shule hiyo kudumisha nidhamu na kuchapa kazi. “shukrani ya pekee mnayoweza kutoa kwa serikali ni matokeo mazuri katika masomo yenu.

Vifaa alivyochangia ni mipira (5) ya basketi, mipira (5) ya soka, mipira (5) netiboli, mipira (3) voliboli, neti (2) kwa ajili ya mpira wa soka na neti (1) kwa ajili ya voliboli. Vilevile, aliahidi shilingi 500,000 kwa ajili ya klabu ya “debate”.

Katika hatua nyingine, Mkuu wa Mkoa akiwa katika shule ya sekondari ya wasichana ya Ifunda aliahidi mipira (5) ya netiboli na kukabidhi shilingi 100,000 kwa kwaya ya shule hiyo.

Ikumbukwe kuwa Mkuu wa Mkoa yupo katika siku yake ya pili ya ziara yake ya Tarafa kwa Tarafa wilayani Iringa katika Tarafa ya Kiponzelo.

=30=



Matangazo

  • Ratiba ya Mhe. Mkuu wa Mkoa kwa Mwezi Februari February 07, 2019
  • TAARIFA YA TATHMINI YA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE MWAKA 2018 January 28, 2019
  • Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga kidato cha kwanza 2019 Mkoa wa Iringa. December 17, 2018
  • Ratiba Ya Mh. Mkuu Wa Mkoa Kwa Mwezi January January 18, 2019
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MKOA WA IRINGA KUPATIWA MRADI MUHIMU WA KUKUZA UTALII

    February 04, 2019
  • RC ALLY HAPI AKUTANA NA WADAU WA UTALII MKOANI IRINGA

    January 24, 2019
  • RC ALLY HAPI AWASHUKIA MAKAMPUNI YANAYOKWEPA KULIPA KODI

    January 10, 2019
  • ORODHA YA WAPORAJI MALI ZA USHIRIKA IANDALIWE IRINGA

    October 16, 2018
  • Tazama zote

Video

KATIBU TAWALA MKOA WA IRINGA BI.HAPPINESS SENEDA AKITEMBELEA MIRADI MBALIMBALI YA MAENDELEO
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Iringa
  • PReM
  • Investment profile
  • Press release
  • Completed projects

Tovuti Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji Kidunia

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

Jumla ya Watembeleaji

COUNTER-free

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2018, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Iringa.