THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA - PRIME MINISTERS OFFICE
   
Search the site

 
 .: Home
 .: Organization structure
 .: About Us & Contact
 .: Mission & Vision
 .: Project & Programs
 .: Financial Report & Budget
 .: Documents
Taarifa za idara

 .: Kilimo na Mifugo

.: Maliasili

.: Elimu

.: Afya

.: Maji

.: Ushirika

.: Biashara

.: Barabara na Majengo

.: Ardhi, Upimaji na Ramani

.: Jamii, Jinsia & Watoto

Maliasili

Mkoa wa una fursa nyingi za kutumia na kuendeleza maliasili. Mingoni mwa fursa hizo ni ufugaji wa nyuki, wanyamapori, Ruaha National Park, Udzungwa National Park, Mpanga/Kipengere Game Reserves, Milima na misitu ya Udzungwa, Misitu mikubwa ya kupandwa kama msitu wa Taifa wa Sao Hill, misitu ya kupandwa ya watu binafsi na makampuni yaliyowekeza katika misitu mfano Green Resourse, Halmashauri za Wilaya, misitu ya ya Serikali za Vijiji na Serikali kuu.

Uhifadhi wa vyanzo vya Maji

Hadi kufikia Desemba 2008 jumla ya vyanzo vya maji 6,401 vilikuwa vimetambuliwa na jumla ya vyanzo 2,356 vimehifadhiwa.

Misitu

Jedwali Na.10: Upandaji wa miti kiwilaya kipindi cha kuanzia mwaka 2005 hadi 2008 ni kama ifuatavyo:-

Wilaya/Halmashauri Upandaji miti 2005/06 Upandaji miti 2006/07 Upandaji miti 2007-2008 hadi Julay 2008
Lengo Halisi Lengo Halisi Lengo Halisi
Makete 2,000,000 2,668,405 2,221,000 2,400,880 2,500,000 2,889,976
Mufindi 9,900,000 7,980,460 7,000,000 20,096,503 21,000,000 23,862,500
Kilolo 1,024,122 1,642,975 1,226,000 18,279321 2,000,000 18,000,000
Manispaa 84,000 77,350 84,000 185,000 100,000 133,334
Ludewa 1.800.000 2.126113 2,132,000 2,943,960 3,000,000 3,081,046
Njombe 1,000.000 2,402,228 1,332,000 2,292,228 2,000,000 16,522,108
Iringa 2,200,000 1,589,201 1,000,000 3,035,038 35,500,000 1,345,000
JUMLA 18,008,122 18,486201 15,000,000 49,329,930 34,000,000 65,833,964

Chanzo: Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

Jedwali Na: 11: Ukusanyaji wa mapato ya misitu kwa msimu wa 2006/2007 hadi 2007/08 na malengo 2008/09 kiwilaya

MKOA/WILAYA

Lengo 2005/06

Halisi 2005/06 Lengo 2007/08 Halisi 2007/08
Maliasili Mkoa 4,900,000 800,000 1,000,000 3,000,000
Iringa 16,400,000 2,681,300 3.000,000 6,000,000
Mufindi 2,500,000 153,159,098 154,000,000 155,000,000
Njombe 5,500,000 3,880,000 4,000,000 3,125,000
Ludewa 1,000,000 1,235,876 1,000,000 1,000,000
Makete 3,500,000 3,231,534 3,231,534 3,500,000
Kilolo 4,000,000 3,980,219 3,900,000 4,000,000
Jumla 37,800,000 168,968,027 170,131,534 177,500,000

Chanzo: Ofice ya Mkuu wa Mkoa wa Iringa

Uwekezaji katika Sekta ya misitu unakua kwa kasi ya kuridhisha kutokana ns makampuni kutoka nje na ndani kuvitia.

Jedwali Na: 12: Mafanikio ya utalii yanayonekana kama ifuatavyo:-

Sekta Shughuli Desemba 2005 Dessemba 2008 Mafanikio/Ongezeko
Utalii Idadi ya watalii nje 13,727 16,520 2,793
Watalii wa ndani 6,747 9,082 2,335
Maafisa utalii - 8 8

Chanzo: Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Iringa

Uvuvi

Kwa kipindi cha Desemba 2005 hadi Desemba 2008 jumla ya maeneo yalioainishwa ambayo ni maarufu kwa uvuvi mkoani ni 6.

Uvuvi unfanyika katika ziwa Nyasa ambalo katika Tanzania lina ufuko wa urefu wa km 260 na mabwawa madomadogo ya kufugia samaki 4,167.maeneo haya ya uvuvi yana jumla ya kilometa za mraba 822 ambazo zimezalisha jumla ya Kg.516,178 za samaki zenye thamani ya Shs.326,977,300.

 

opyright © 2009 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Iringa, P.O.BOX 858, Iringa, TEL: 026 - 2702715, FAX: 026-2702082 / 2701888

[Go Home]